Tulionywa kuhusu mabillionea 40

Tulionywa kuhusu mabillionea 40

chikwilya

Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
23
Reaction score
2
Hawa wa chadema aslia vs chadema pesa tunawajuwa.wapo wengine ndani ccm.lakini wapo wengine wamefichama nyuma ya pazia!kwa kweli vyombo vya JK havitutendei haki waTz pamoja na kwamba wanachi tunakamliwa mno for their wellbeing!JPM fanya kweli ili hata hili lundo la vijana waelewe enzi za JKN ulikuwa siyo wa ku-jog,ko-pool na viroba!
 
Huwezi kueneza chuki za kiitikadi ukafikiri unashauri.ushauri hutolewa kujenga na sio kubomoa.matatizo ndani ya ccm yanaihusu ccm yenyewe na watu wake.kuihusisha chadema ni kuonesha ulivyo na upeo wa panzi katika kufikiri na kuelewa mambo.usiandike tu kwa vile umezawadiwa smartphone!
 
Hawa wa chadema aslia vs chadema pesa tunawajuwa.wapo wengine ndani ccm.lakini wapo wengine wamefichama nyuma ya pazia!kwa kweli vyombo vya JK havitutendei haki waTz pamoja na kwamba wanachi tunakamliwa mno for their wellbeing!JPM fanya kweli ili hata hili lundo la vijana waelewe enzi za JKN ulikuwa siyo wa ku-jog,ko-pool na viroba!

= rundo
 
Vijana wanakalia kucheza pool na viroba, wasubiri jamaa ahapishwe ili washike adabu
 
Back
Top Bottom