IFRS
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 2,904
- 5,168
Katika uchaguzi wa mwaka 2015 ni moja ya chaguzi ambao hautakaa kusahulika kutokana na ushindani mkubwa kati ya Chama tawala CCM na muungano wa vyama vya upinzani UKAWA. Chama cha mapinduzi kilimsimamisha mgombea wa urais mh. John Pombe Magufuli na ukawa wakamsimamisha mh. Edward Lowassa.
Kiukweli mimi ni mmoja wapo niliyemchagua John Magufuli kwa kura ya Urais lakini nilichagua UKAWA kwenye kura ya ubunge na udiwani.
Sababu kubwa sana ya kutomchagua mgombea wa UKAWA kwenye kura ya Urais ni kutokuwa na imani na Mh Lowassa na kukatishwa tamaa na wabunge wa CCM kwenye bunge lililopita ambao badala ya kutetea maslahi ya wananchi wao walikuwa wanatetea maslahi ya Chama.
Je, mwanaJF mwenzangu ulifanya uamuzi wa kuchagua CCM kwenye urais na UKAWA kwenye ubunge na udiwani kwa sababu gani?
Kiukweli mimi ni mmoja wapo niliyemchagua John Magufuli kwa kura ya Urais lakini nilichagua UKAWA kwenye kura ya ubunge na udiwani.
Sababu kubwa sana ya kutomchagua mgombea wa UKAWA kwenye kura ya Urais ni kutokuwa na imani na Mh Lowassa na kukatishwa tamaa na wabunge wa CCM kwenye bunge lililopita ambao badala ya kutetea maslahi ya wananchi wao walikuwa wanatetea maslahi ya Chama.
Je, mwanaJF mwenzangu ulifanya uamuzi wa kuchagua CCM kwenye urais na UKAWA kwenye ubunge na udiwani kwa sababu gani?