fieldmashal
Member
- Nov 22, 2015
- 78
- 3
Mimi naliita hili la heslb kuwanyima mkopo wanafunzi wanaoendelea kuwa ni janga la kitaifa naiomba serekali itangaze hali ya hatari na kuwafuta kazi Mara moja watumishi wote wa bodi ya mikopo na kutangaza dau kwa wawekezaji wengine watakao hakikisha kila mwanafunzi anapata mkopo kama alivyo ahidi mh magufuli wakati wa kampeni zake. Mwaka jana tumeteseka sana ila baadhi yetu tulikuwa na imani kuwa mwaka huu watatupa mikopo lakini hadi sasa hali ni tete sana, usajiri hatujafanya kwan hali ni mbaya sana, inauma sana kuwaona wanafunzi wenzangu wanaenda ujac kupata chochote kitu huku mimi sina uhakika wa kula nataman kujiunga na alishababo tuivamie bodi ya mikopo tukakatekate watumishi wote wa bodi cha kufanya wana udom wote hasa wana wa coed tuwe kitu kimoja tukutane hapa.