MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,069
- 713
Mkweli ni Yupi kati ya hawa: Uwazi na ukweli, Maisha bora kwa kila MT, Hapa kazi tu, Kazi iendelee
Ni awamu gani Ilitafsili kauli mbiu kwa viendo tukianza na awamu ya 3?
Ni awamu gani Ilitafsili kauli mbiu kwa viendo tukianza na awamu ya 3?
- Awamu ya tatu: Mzee Mkapa (R.I.P) Kaulimbiu : Uwazi na ukweli
- Awamu ya Nne: Mzee Kikwete Kauli mbiu : Maisha bora kwa kila Mtanzania
- Awamu ya tano: Joseph Magufuli Kauli mbiu : Hapa kazi tu
- Awamu ya sita: Mama Samia Kauli mbiu : Kazi iendelee