CLONEY
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 104
- 29
Ndugu zangu ukifungua MMU topic nyingi zinaonyesha jinsi gani mapenzi yanasumbua sana siku hizi,yani wanaume wanalia huku wanawake nao wanalalamika.
Wapo wengine leo wanadiriki kusema mapenzi sasa basiiii tena kumbuka kuna wengine wengi tu wanaougulia moyoni hawna hata pa kusemea.
Naamini leo hii tukiwekwa uwanjani kuimba kuhusu mahusiano yetu ya mapenzi huo mdundo wake hakuna atakaeweza kucheza maana ni majanga ya kuua mtu.
Pamoja na vilio na malalamiko hayo yote kutoka kila upande haki ya nani wapo wanaofurahia sana mahusiano yao mapenzi kabisaa hata chembe ya presha hawana kwahyo wale walioko kwenye kundi la furaha chondechonde jamani tulia kama unanyolewa ndugu yangu mapenzi yanapeleka mbio hii dunia ndo maana wengine wanaua au kujiua oohooo sio jambo dogo hilo.
Kwa bahati mbaya unakuta mtu kapata mwenza aliyetulia lakini yeye sasa duuh utadhani kalaaniwa na hajui huko nje kuna watu hawali vizur au hawana amani hata chembe kwasababu ya mapenzi,ni bora kama unaona uko na mtu sahihi tafadhali tulia ndugu.
Wapo wengine leo wanadiriki kusema mapenzi sasa basiiii tena kumbuka kuna wengine wengi tu wanaougulia moyoni hawna hata pa kusemea.
Naamini leo hii tukiwekwa uwanjani kuimba kuhusu mahusiano yetu ya mapenzi huo mdundo wake hakuna atakaeweza kucheza maana ni majanga ya kuua mtu.
Pamoja na vilio na malalamiko hayo yote kutoka kila upande haki ya nani wapo wanaofurahia sana mahusiano yao mapenzi kabisaa hata chembe ya presha hawana kwahyo wale walioko kwenye kundi la furaha chondechonde jamani tulia kama unanyolewa ndugu yangu mapenzi yanapeleka mbio hii dunia ndo maana wengine wanaua au kujiua oohooo sio jambo dogo hilo.
Kwa bahati mbaya unakuta mtu kapata mwenza aliyetulia lakini yeye sasa duuh utadhani kalaaniwa na hajui huko nje kuna watu hawali vizur au hawana amani hata chembe kwasababu ya mapenzi,ni bora kama unaona uko na mtu sahihi tafadhali tulia ndugu.