Tulia Ackson ni nani, CV yake ipoje?

tuache waonea wivu kina hasheem thabeet.. mbwana samatta, diamond platnum at their 20s tu wanashika mabilion tena kwa kujiajiri wenyewe tumuonee wivu tulia ambaye income yake haifiki hata milion 20 per month na ni mtumwa wa aliyemwajiri...

au kina home shopping futari tu wanatoa zawadi za I phone... kina bakhressa, mafuruki, dewji, raphael, hao ndio wa kuwaonea wivu income ya tulia ya maisha yake yote hadi astaafu wao wanaipata kwa siku tu..


 


Na hapo ndipo unapokosea hakuna nilipo oanisha mafanikio ya Dada Tulia na fedha, kama ni hivyo ningemtaja Mbowe ambaye amekulia kwenye utajiri tangu mtoto na hajui dhiki ni nini, ningemuweka kwenye watu wenye mafanikio makubwa tangu watoto, na isitoshe hawo uliowataka akina Hashimu, Mbwana hawako Bungeni na wala hawako kwenye Siasa, hivyo mifano yako ingekuwa na maana tu kama ungeleta Mwanasiasa wa upinzani ambaye anaweza kuonyesha mafanikio kama ya dada Tulia kwa umri huwo ...
 
Ameshaanza kulazimisha ubunge Mbeya mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…