Tulia Ackson ni nani, CV yake ipoje?



Angalia CV ya huyo dada yote nimeyaandika hapo amekuwa dean (associate) wa Sheria UDSM, akateuliwa kwenye kutayarisha Katiba, Naibu Mwanasheria Mkuu, Mbunge na leo ni Naibu Spika wa Bunge la JMTZ!
 
Japo kuna chembe ya ukweli ndani lakini ...
Elimu pekee haimfanyi mtu kuwa kiongozi mzuri, kiongozi lazima awe na yafuatayo, hekima, busara na maarifa. Dada huyu ana maarifa tu hekima wala busara hana.
Hekima na busara ni vipawa toka kwa Mungu, na mara nyingi mtu yeyote alopitia mambo mengi hekima yake na busara huongezeka.
Naamini nimeeleweka ...
 
Ni suala la uelewa zaidi. Kwa uelewa wako hiyo umeiona sawa
 
Dr. Tulia ni hazina kwa taifa hili. Iwapo ata-maintain utendaji huu na kuzidi, sina shaka kabisa namwona rais wa kwanza mwanamama katika Dr. Tulia Ackson. Jamani hamlioni hili? Kodoeni macho mtaona ninachokiona. Si mchezo huyu mwanamama.
 
Unaota wewe....polee sana ..Sasa mbona anakubari kutumikaa..anashindwa kutuma Hata Hekima ya form 2...I will be the last person to believe if that PHD is not Fakelo!!!!!
 
Tatizo la vijana wa lumumba kila kitu kiwe kibaya ama kizuri wao ni ndio tu Muda mwingine angalieni maslai mapana ya Tanzania Mkuu B hii nchi niyakwetu wote kila mmoja wetu anapenda kuona inchi inasonga mbele jaribu kuwa mkweli kuhusu TULIA kapwaya Sana ktk bunge hili.
 


Wivu tu, hakuna kingine!
 
Mpaka anakubari hoja mbovu kama za 'nilivuliwa kofiaa nimevurugwaa amenitamani'anachekacheka....tu haaa haaa haaaa..PHD zingineeee Banaaa.
 
Unaota wewe....polee sana ..Sasa mbona anakubari kutumikaa..anashindwa kutuma Hata Hekima ya form 2...I will be the last person to believe if that PHD is not Fakelo!!!!!
Unashindwa kumuelewa maana kiwango chako cha uelewa ni kidogo. Tuliyumbishwa sana Na akina Lissu na wabunge wengine uchwala wanasheria . sasa kaja mama yao mwalimu wao wa sheria wote wamenywea hakuna cha Lissu au Mudee , wamebakia kuziba midomo Na makaratasi. Wanao mpinga Tulia , mtwambie kavunja sheria gani anapowavurumisha wabunge wa Ukawa wasio Na maadili ?
 
UKAWA walizoea malezi ya babu na bibi wakawa wanavunja taratibu na kanuni za bunge wakiambiwa eti wakiwa watu wazima wataacha. Sasa wamekutana na baba na mama wanachapwa pale pale wanapokosea. Wanaona wanaonewa na kutamani kurudi kwa babu na bibi. Wazoee tu na wajifunze kufuata taratibu na kanuni walizoweka wabunge wenyewe.
 
Wivuuu...???? mmh haya!!!!!!
 
Wengine sisi mafanikio ni kuwa na Afya njema.kutenda haki.kufanya kila tunachopenda.kumjua Mungu basi when you talk about money you talk about number


Ni wapi nimeoanisha mafanikio ya Dada Tulia na money? Mimi nimeongelea kile kilicho wazi hayo mambo ya kuwa ni mcha Mungu au siyo mcha Mungu, afya yake hayanihusu na hayapaswi kunihusu kwani ni masuala binafsi!
 
Tundu lisu ni Habari nyingine. PHD OF tulia does not corresponding the way of handling issue, TULIA MBELE YA LISU HANA LOLOTE
 
Ukawa hasa chadema ,wanajifanya kumtukana sana MTU Fulani kumbe ndani ya mioyo yao wanamtaka na kumpenda sana , pindi akiomba kuhamia kwao wanampokea na kumsafisha .

Dr Tulia wanyooshe ,tulishawashitukia janja yao.

Watanzania tupo nyuma yako our beloved Dr Tulia.
 
Tundu lisu ni Habari nyingine. PHD OF tulia does not corresponding the way of handling issue, TULIA MBELE YA LISU HANA LOLOTE


Hayo ni maneno yako na kila mtu anaweza kusema atakacho kwani unaweza hata kuwa ni mtoto wake yeye Tundu ambapo ni kawaida kwa mtoto kumtetea baba yake, lakini mwisho siku Dunia hutambua mfaniko ya mtu kwa vithibitisho, hivyo weka hapa archievements za kintelectual za Tundu Lisu na siyo blah blah za majukwaani kwani hizo hata Sugu au Msigwa wanaweza!
 
Kashindwa kuendesha bunge period.Bora mama makinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…