Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 12,237
- 21,203
Je, utaweza kuiba kura za wananchi wa Mbeya?
Ushauri:
Tulia tafuta kingine cha kufanya, achana na ubunge Mbeya. Wenyewe hawakutaki, usidanganywe na RC Chalamila hawezi kukusaidia lolote.
Walishafeli eti chama cha wachaga. Wakati wabunge wake wako Mbeya, Tunduma, mara, singida na Dar es salaamChadema ina nguvu sana Nyanda za juu kusini. Na siku zinavyozidi kwenda ndo inazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi. Waliotunga propaganda kuwa Chadema ni Chama cha kaskazini wamefeli vibaya sana kwa kweli.
Nina uhakika wa asilimia 99 kuwa Magufuli anaweza asipate hata kura 500 Nyanda za Juu kusini.
Haahaa kwa Mbeya ni ndotoHao ni mamluki twanashangilia tu lakini hawapigi kura mtaona tulia anavyochukua jimbo
Muda tu utaongea ndugu na ningekuwa nakujua ningerudi kukuuliza vipi cdm yako mbona hoiiiiiHaahaa kwa mbeya ni ndoto
Mungu wangu ni zaidi the bodyguard from BeijingHao ni mamluki twanashangilia tu lakini hawapigi kura mtaona tulia anavyochukua jimbo
Mlianza hivyo hivyo eti Chadema iko Facebook tu na nyuma ya keyboard.HAO ni mamluki twanashangilia tu lakini hawapigi kura mtaona tulia anavyochukua jimbo
Na atashindwa vibaya hadi atajuta kilichompeleka Mbeya.Kugombea ni haki yake, imeandikwa katika katiba ya nchi! Kama kushindwa ashindwe kwenye Sanduku la kura.
Hapendwi Mbeya period. Hata kwao Rungwe nako hawamtaki ndiyo wakamsukumiza Mbeya. Huku nako anagawa RUSHWA tu kwenye misiba . Hela zake wanakula na atashangaaKugombea ni haki yake, imeandikwa katika katiba ya nchi! Kama kushindwa ashindwe kwenye Sanduku la kura.