sasa umenuna nini kwani si alimpiga mtu kweli <br />
kama umeona tunakosea turekebishe we mjuaji <br />
si kusema maneno mbofumbiofu hapa<br />
wewe kwakuwa mkubwa ungetuelimisha.<br />
hili jukwaa lina watu wa kila aina wenye<br />
upeo wa kila aina<br />
kwanza ili tukuelewe hebu tupatie source<br />
si ututukane bur hapa <br />
tutaaminije kama unachosema ndo sahihi<br />
afu sisi tumesema upupu.