Tunamachungu,Tunaudhuni na tunamasikitiko makubwa sana na huu upandaji ya umeme kwa kiwango cha kutisha.leo namaliza siku ya 4 baada ya luku kuisha sijanunua umeme..tuko tayari ya kwa maandamano ya kupinga huo upandaji wa umeme,maana huu upandaji umegusa nyanja zote,nitashangaa sana kama police atanyanyua rungu lake na kumpiga mwananchi,maana hii inamgusa hata yeye na familia yake,,,Lakini ili maandamano haya yafanikiwe inabidi iratibiwe na TAWI LOLOTE LA CCM AU TAASISI YOYOTE ISIYO YA KISERIKALI,Naamini hapo yatafanikiwa..Na nina maana nasema kwanini yaratibiwe na CCM Na sio CDM.