Tukiwa outing anageuka bubu


da kumbe kuongea ni kipaji. Mpaka nashindwa kutoa ushauri coz mtoto wa chuo lazima ajue hayo mambo. Maana nategemea date kama iyo stori kibao eg barcelona na yanga ndo habari ya mujini kweli anashinda kujua wanacheza lini na ni akina nani watakuwa kwenye kikosi?

Jingine hata kuchangia katiba?

Au kuongelea uchumi ili akulete kwenye the main topic ili ujiongeze baada ya date? Its impossible

sasa basi binti inaonekana ana ndege 2 na wewe ukiwemo ila kasimama mguu pande mguu sawa hataki kukuzoea wewe na ukakoleakwa penzi kwa sababu anategeshea kwa yule john ambae mnazidiana kidogo kiuchumi au appearance so hajielewi!
 
<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/glasses-nerdy.png" border="0" alt="" title="Glasses Nerdy" smilieid="191" class="inlineimg"><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/glasses-nerdy.png" border="0" alt="" title="Glasses Nerdy" smilieid="191" class="inlineimg">&nbsp;please give us the age difference!!!!!
 
Akuu nlishajiondekeaga, I was never comfortable around him na hakua mkali kabisaa

Ulianza kumuheshimu sana kupita kiasi kwa kujua a kutokujua! matokeo yakawa hayo!
 
Kijana usiwe na hofu bado anakupenda, ila nawe sijui unaremba nini Uzuri wa mwanamke mkishaonananae uchiuchi hakuogope tena, outing inayofwata mtakua na vitu Vingi vya kudiscus.
Jaribu.!
 
nazani story zako unazompigisha azifagilii.
sasa Fanya hivi,mtoe out kwa Mara nyingine tena,then mwambie keo zamu yako kuanzisha mada,kila siku Mimi ndio naanzisha story.
akisema sina neno,then pateni chochote then muondoke.
next time muombe aje kwako kukutembelea,akija usifanye ajizi omba mchezo in a polite manner .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…