Tukiwa outing anageuka bubu

Hana interest na maongezi yako probably au topics unazozileta.Kwanini msiongee kuhusu wewe na yeye?Mfano yeye anapenda nini?ana plan gani za baadae?Mkuruzinza ndo nani/nini?Escrow ?:shock: hata mi siyajui hayo siasa imenipitia kushoto!
 
Hana interest na maongezi yako probably au topics unazozileta.Kwanini msiongee kuhusu wewe na yeye?Mfano yeye anapenda nini?ana plan gani za baadae?Mkuruzinza ndo nani/nini?Escrow ?:shock: hata mi siyajui hayo siasa imenipitia kushoto!

Mtoa mada anesema hata akiongea mapenzi bado binti yupo kimya tu
 
Nenda nae taratibu, imawezekana ni kilaza ama hajakuzoea. Ingia gharama siku moja umtoe na rafiki yake wa kike mwenye maneno mengi kisha usikilize wanachopenda kuongea ujifunze yukoje na kama itakuwa hivyo hivyo, mpe muda, umri pia unaweza kuwa tatizo.
 
Mkishaachana mkaongea kwenye simu inakuwaje?
Kama kwenye simu anaongea basi bado hajakuzoea vyema, kama nako haongei unamboa. Na kama unamboa hata na story za mapenzi basi jua kwamba she is NOT feeling you.
 
Mbona suluhisho la tatizo lako ni simpo tu! Fanya hivi:.....Next time mkitoka "out" halafu akawa kimya jaribu kujamba bonge la ushuzii, halafu umsikilizie kama hata sema kitu tena!!usisahau kula maharage yaliyoungwa mafuta ya mawese mahususi kwaajili ya zoezi hilo walau siku tatu mfululizo kabla ya siku ya outing!
 
ulimtongoza kiafande

Hapana mama, huyu atakua hanipendi tu
Wewe mtu gani muda wote Wa outing ana chat tu anakwambia ongea wewe
Iwe ni story za mahaba ni hivyo hivyo nikiamua kubadilisha mada inakua hivyo hivyo
Na ni kila outing
 

Hahahaaaa utamponza mwenzako akajiharishie mbele ya demu wake bure!!!!!

Dah JF noma Aisee. Stress free
 
Hapana mama, huyu atakua hanipendi tu
Wewe mtu gani muda wote Wa outing ana chat tu anakwambia ongea wewe
Iwe ni story za mahaba ni hivyo hivyo nikiamua kubadilisha mada inakua hivyo hivyo
Na ni kila outing
kumbe anakuwa anaongea na watu wengine basi kweli hakupendi.. piga chini tu
 
Hahahaaaa utamponza mwenzako akajiharishie mbele ya demu wake bure!!!!!

Dah JF noma Aisee. Stress free

Ndugu hicho ndo kilicho baki, ajambe tuu maana hakuna namna nyingine!
 
Hivi wadau mkiwa date ni lazima watu muongelee mapenzi mwanzo mwisho?Au kwenye date kama hii ambapo mpenzi anakaa kimya mwanzo mwisho unafanyaje? Au hanipendi?



Sasa mpatano wa kimaongezi una uhusiano gani na kukupenda. Issue hapo ni kuwa hujaweza kuestablish common ground ambayo mtatumia kwa conversation. Na kwenye uhusiano kuweza kushabihiana kimaongezi ni muhimu sana sana.
Na kukushauri sana kwa sasa ni ngumu kwa sababu
1) umesema ulimaliza hukusema umemaliza nini japo yeye ulisema kamaliza chuo.
2) Aina ya maongezi uliyosema ulianzisha iko kwenye category za politics and sport(specifically boxing). Bado ni topic chache sana kiasi kwamba utakosea kusema msomi yeyote lazima awe deep kiasi cha kuzitumia katika mangezi.
Binafsi hivyo vyote navijua lakini si kwa kiasi cha kupigia story.

Cha kufanya jaribu kuexplore categories nyingine na kama music (genres mbalimbali), drama (movies), science kama documentaries, ugunduzi, nature kama wanyama, bahari visiwa hotels maua. Electornics innovations kama magari ya kupaa, street helicoptors. History. Hata uende kwenye udaku, fashion n so on. UKishaelewa anapendelea nini chagua unavyovipenda wewe and there! U have ur common ground. Sasa tafuta story za hizo topic then start.

Ukikomaa kumuuliza 'unanipenda kweli?' we kibuti kinakusaka
 
Omba pupuchi ukiipata nawewe anza kuwa bubu. Chemistry ndogo sana hiyo
 

hahahahaha kweli jamani, umemaliza lakini kama hakuelewa asubiri wamsaidie
 
umenena kweli mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…