Kuna wakati mwingine huwa najiuliza nakosa majibu, kwa mtizamo wangu nilidhani watanzania tuwamoja, lakini tuna mfumo wa vyama vingi. Kuwa na vyama vingi hakumaanishi tuchukiane, tutukanane, au tumuone mwingine hafai kwa sababu ya chama chake. Kwani mwisho wa siku sisi tunabaki kuwa wa tz, wanasiasa tuwasikilizeni bila ushabiki na tuwapime kwa hoja na ilani zao bahati nzuri sana wengi tunaelewa wa mambo tunaweza kuwachambua kwa kazi zao.
Jambo moja ambalo nataka kusisitiza hapa, naomba tuache ushabiki na kufanywa kuwa mateja wa siasa, nalisema hili kwa sababu tukichagua kama mateja wa siasa itatugharimu maisha yetu kwa miaka 5, lakini nadhani kwa macho yetu tumeona wengi wako kimasilahi ndio maana tunaona wanasiasa wanagawana vyeo hata kabla hajaingia ikulu, kwa maana kwamba maslahi yao kwanza ya wana nchi badae
mungu ibariki afrika, mungu ibariki Tanzania
asanteni kwa kunisikiliza........sio lazima niitishe press conference
Jambo moja ambalo nataka kusisitiza hapa, naomba tuache ushabiki na kufanywa kuwa mateja wa siasa, nalisema hili kwa sababu tukichagua kama mateja wa siasa itatugharimu maisha yetu kwa miaka 5, lakini nadhani kwa macho yetu tumeona wengi wako kimasilahi ndio maana tunaona wanasiasa wanagawana vyeo hata kabla hajaingia ikulu, kwa maana kwamba maslahi yao kwanza ya wana nchi badae
mungu ibariki afrika, mungu ibariki Tanzania
asanteni kwa kunisikiliza........sio lazima niitishe press conference