Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,048
Habari za muda jf.
Kama kisemavo kichwa cha thread hii,Nimejikuta naanza kupenda sana kusoma novels hasa hichi kipindi cha sikukuu,Nilianza na moja inaitwa "A KIND OF LOVING" pia nikasoma "MY NOT PERFECT LIFE" na nyingine kama tatu.Hizo zikiwa ni zile ninazozipenda so far....!! Nimekwisha kusoma novels kama tano mpaka sasa hivi na nimegundua zina umuhimu mkubwa sana mpaka najiona nimechelewa kuanza ila hakuna shida maana wanasema "Bora kuchelewa kuliko kutokufika kabisa."
Nipo interested sana kuendelea kusoma na kusoma novels nyingi zaidi bila kujali itanigharimu muda kwa kiasi gani!!! Basi ningependa tu-share kwa pamoja zile novels ambazo ni nzuri iwe za kiswahili au hata kiingereza pia.
Kama kisemavo kichwa cha thread hii,Nimejikuta naanza kupenda sana kusoma novels hasa hichi kipindi cha sikukuu,Nilianza na moja inaitwa "A KIND OF LOVING" pia nikasoma "MY NOT PERFECT LIFE" na nyingine kama tatu.Hizo zikiwa ni zile ninazozipenda so far....!! Nimekwisha kusoma novels kama tano mpaka sasa hivi na nimegundua zina umuhimu mkubwa sana mpaka najiona nimechelewa kuanza ila hakuna shida maana wanasema "Bora kuchelewa kuliko kutokufika kabisa."
Nipo interested sana kuendelea kusoma na kusoma novels nyingi zaidi bila kujali itanigharimu muda kwa kiasi gani!!! Basi ningependa tu-share kwa pamoja zile novels ambazo ni nzuri iwe za kiswahili au hata kiingereza pia.