Huyu alikuwa ni mwanachama wa kundi la Neck Breakers ambalo lilitamba na nyimbo kadhaa kama "nataka niseme" lakini baadaye lilikuja kupotea....Kuna jamaa aliitwa Malick alimshirikisha Q chief unaitwa 'Ni mzuri'
SahihiHuyu alikuwa ni mwanachama wa kundi la Neck Breakers ambalo lilitamba na nyimbo kadhaa kama "nataka niseme" lakini baadaye lilikuja kupotea....
Malick aliimba wimbo huo akiwa kama solo artist....
AJUAE KUPIGANAHuyu alikuwa ni mwanachama wa kundi la Neck Breakers ambalo lilitamba na nyimbo kadhaa kama "nataka niseme" lakini baadaye lilikuja kupotea....
Malick aliimba wimbo huo akiwa kama solo artist....
Wanaitwa USWAHILINI MATOLA,,watoto wa mbeya haokuna wimbo "kosa la marehem" waliimba kina nani?
Uswahilini matolakuna wimbo "kosa la marehem" waliimba kina nani?
Mbali na fitina aliwahi kutoa na nyingineRenee lamira ~ fitina
Simkubali huyu jamaa hata kidogo....J I kidato kimoja
Kula kona waliimba Manzese crewHv wale walioimba KULA KONA
Wanaitwaje
Hv wale waloimba CHELEA PINA
Wanaitwaje
aisee mkuu huu wimbo naupataje, nimejaribu google nimeukosa kabisa
Nimegundua sio kosa laki