Father Supa alipigania haki za wafungwa mpaka akafanikiwa.Padre Supa... Dodoma.
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:
Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngwanangwalu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaangw
Huyu cha ubishi mwenye msimamo wa kulinda maslahi ya nchi badala ya dini alitwa Steven Kibona Mbunge wa IlejeNgunangwa (RIP), Lutaraka, Anne Makinda, Chief Adam Sapi Mkwawa(RIP), Piusi Msekwa, Ukiwaona Ramadhani Ditopile Mzuzuri (RIP), Kuna yule mbunge wa ileje na waziri wa fedha enzi za mwinyi alikataa kuidhinisha pesa za mahujaji,
Asante sana mkuu kwa kunikumbusha Steven Kibona Mbunge na Waziri msomi wa enzi hizo (RIP)Huyu cha ubishi mwenye msimamo wa kulinda maslahi ya nchi badala ya dini alitwa Steven Kibona Mbunge wa Ileje
mkuu vipi?Kitwana Manyara
Zamoyoni Mogella
Edibil Jonas Lunyamila
Hamisi Gaga
Chediel Mgonja
Peter Kisumo
Sent using Jamii Forums mobile app