CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Wakuu leo nimekumbuka miaka ileeee ya 80 hasa ktk swala la misosi.
Enzi hizo nilikua nikiishi na wazazi wangu maeneo ya kanda ya ziwa,tulikua tukimiliki ng'ombe kadhaa,mbuzi,kondoo na kuku,mashamba ya vyakula n.k.
Asubuhi breakfast-Uji dona full maziwa na viazi vitamu/njugu za kuchemsha na mahindi.
Lunch-Dona mixer,mtama na muhogo na sato wa kushiba pilipili kwa wingi,mboga za majani pembeni mchicha pori/mgagani/mchunga.Huku nikishushia kwa nusu lita ya mtindi.
Dinner-Kama kawa dona la mixer na nofu la sangara basi weee!mbaya au nzuri zaidi ulikua unalazimishwa kumaliza msosi uliokatiwa,usipomaliza cha moto utakiona why umekula kwa jirani?
Ubwabwa na soda ni mpaka xmas na new year,tena linapikwa kwanza dona mkishashiba mnasafishia tumbo na kaubwabwa.
Skuli ilikua kama 7kms hv from hm.
Enzi hizo nilikua nikiishi na wazazi wangu maeneo ya kanda ya ziwa,tulikua tukimiliki ng'ombe kadhaa,mbuzi,kondoo na kuku,mashamba ya vyakula n.k.
Asubuhi breakfast-Uji dona full maziwa na viazi vitamu/njugu za kuchemsha na mahindi.
Lunch-Dona mixer,mtama na muhogo na sato wa kushiba pilipili kwa wingi,mboga za majani pembeni mchicha pori/mgagani/mchunga.Huku nikishushia kwa nusu lita ya mtindi.
Dinner-Kama kawa dona la mixer na nofu la sangara basi weee!mbaya au nzuri zaidi ulikua unalazimishwa kumaliza msosi uliokatiwa,usipomaliza cha moto utakiona why umekula kwa jirani?
Ubwabwa na soda ni mpaka xmas na new year,tena linapikwa kwanza dona mkishashiba mnasafishia tumbo na kaubwabwa.
Skuli ilikua kama 7kms hv from hm.