Akili za wachezaji wetu sometimes ni kama; bongo flava artist, ki-single kimoja mtaani hatulali.
Wengi wetu tunaokimbilia ni baada ya kushindwa maisha huko kwengine.
Nidhamu ya kazi hakuna kabisa.
Waigizaji nao ndio hao kina kanumba (Rip).
Hapo mnategemea tupate kina Christian Reinaldo na Messi,
Au kina Tupack watokee bongo, thubutu
Mitungi na Mikasi ndicho wakiwazacho, zaidizaidi labda kuendeana Mlingotini Bagamoyo.