Tujifunze kidogo kuhusu Cosmology (sayansi ya Ulimwengu wa nje ya dunia tunayoishi)

Nimerejea sijaona tatizo, labda we uniambie wapi kuna tatizo
Umethibitisha kile ambacho nimekisema huko awali,kwamba haoni tatizo isipokuwa Mwendawazimu.

Ili nijue kweli umerejea habari za Bigbang zimeanza kujulikana lini huyo mwenye hayo mawazo ilikuwaje akaja na wazo hilo ? Alishuhudia na ushahidi wake uko wapi juu ya hiyo Bigbang ?Nani alishuhudia hili tukio mpaka leo hii ikawa marejeo ? Sasa usiseme tu umerejea wakati ukweli hujareje,ndiyo maana tunahitimisha hawezi kuamini Bigbang isipokuwa Mwendawazimu.
 
Umethibitisha kile ambacho nimekisema huko awali,kwamba haoni tatizo isipokuwa Mwendawazimu.

Ili nijue kweli umerejea habari za Bigbang zimeanza kujulikana lini huyo mwenye hayo mawazo ilikuwaje akaja na wazo hilo ? Alishuhudia na ushahidi wake uko wapi juu ya hiyo Bigbang ?Nani alishuhudia hili tukio mpaka leo hii ikawa marejeo ? Sasa usiseme tu umerejea wakati ukweli hujareje,ndiyo maana tunahitimisha hawezi kuamini Bigbang isipokuwa Mwendawazimu.
Tatizo ni wewe kutoisoma vizuri bingbang, na ukweli haukitegemei wewe kukubali ili kiwe kweli

Hoja ya kusema nani alishuhudia ni ya kijinga zaidi, unaturudisha kwenye ujinga wa mtu aliyedai kaona jua linazama kwenye matope na watu wakakubali.

Sayansi haiko hivyo, sayansi haiamini mtazamo wa mtu kwa kile anachokidai, sayansi imebase katika utafiti.

Na ndio maana kule nilikuuliza unajua nini kuhusu radiometric dating, baada ya kuona unauliza maswali ambayo mtoto wa form two anakujibu
 
Tatizo ni wewe kutoisoma vizuri bingbang, na ukweli haukitegemei wewe kukubali ili kiwe kweli

Hoja ya kusema nani alishuhudia ni ya kijinga zaidi, unaturudisha kwenye ujinga wa mtu aliyedai kaona jua linazama kwenye matope na watu wakakubali.

Sayansi haiko hivyo, sayansi haiamini mtazamo wa mtu kwa kile anachokidai, sayansi imebase katika utafiti.

Na ndio maana kule nilikuuliza unajua nini kuhusu radiometric dating, baada ya kuona unauliza maswali ambayo mtoto wa form two anakujibu
Hakuna kukimbia hoja ya msingi na maswali ya msingi,nionyeshe ni Sayansi gani iliyo tumika katika nadharia ya Bigbang ? Nilipo kuuliza asili nilikuwa na maana sana.

Bigbang ni wazo la kifalsafa kwalo halithibitishiki kwa Sayansi yoyote ndiyo maana mwenzako mmoja humu ndani nilimuuliza akashindwa kujibu akaishia kusema nikajisomee.

Kadhalika suala radiometric dating,hili halina uhalisia kwa namna yoyote ile ndiyo maana umri wa dunia wametofautiana katika kuukadiria,jambo lolote ndani yake likiwa lina "Assumptions" ujue lina uongo ndani yake.

Sasa rudi katika hoja yangu ya msingi.

Suala la jua kuzama kwenye matope ni mfano mfu ulio jaa ujinga na upotoshaji,hili limewekwa wazi zaidi ya mara moja humi ndani na mkashindwa kukosoa.

Sasa kama unaweza jibu maswali yangu,na uniambie huyo aliye leta nadharia ya Bigbang alianza na jaribio gani la kisayansi zaidi ya wazo tu baada ya kushiba ?

Mimi nakupa miaka kumi uje kututhibitishia ukweli wa hii nadharia. Na utueleze ilikuwaje kuwaje.

Yaani mtu aje aikute dunia imeshapangwa na kupangika anakuja kutuambia hii Dunia chanzo chake ni Bigbang. Bila ushahidi na kutuambia amejuaje halafu mtu ukubali tu bila kuhoji.

Nasema tena huwezi kuwa mwenye akili timamu ukaamimi juu ya Bigbang.
 
Hakuna kukimbia hoja ya msingi na maswali ya msingi,nionyeshe ni Sayansi gani iliyo tumika katika nadharia ya Bigbang ? Nilipo kuuliza asili nilikuwa na maana sana.

Bigbang ni wazo la kifalsafa kwalo halithibitishiki kwa Sayansi yoyote ndiyo maana mwenzako mmoja humu ndani nilimuuliza akashindwa kujibu akaishia kusema nikajisomee.

Kadhalika suala radiometric dating,hili halina uhalisia kwa namna yoyote ile ndiyo maana umri wa dunia wametofautiana katika kuukadiria,jambo lolote ndani yake likiwa lina "Assumptions" ujue lina uongo ndani yake.

Sasa rudi katika hoja yangu ya msingi.

Suala la jua kuzama kwenye matope ni mfano mfu ulio jaa ujinga na upotoshaji,hili limewekwa wazi zaidi ya mara moja humi ndani na mkashindwa kukosoa.

Sasa kama unaweza jibu maswali yangu,na uniambie huyo aliye leta nadharia ya Bigbang alianza na jaribio gani la kisayansi zaidi ya wazo tu baada ya kushiba ?

Mimi nakupa miaka kumi uje kututhibitishia ukweli wa hii nadharia. Na utueleze ilikuwaje kuwaje.

Yaani mtu aje aikute dunia imeshapangwa na kupangika anakuja kutuambia hii Dunia chanzo chake ni Bigbang. Bila ushahidi na kutuambia amejuaje halafu mtu ukubali tu bila kuhoji.

Nasema tena huwezi kuwa mwenye akili timamu ukaamimi juu ya Bigbang.
Haya mambo huanza kwa assumption, ambapo hiyo assumption inafanyiwa majaribio.

Jambo kuanza na assumption ni mwanzo wa utafiti, ila jambo kuisha kwa assumption ni kitu ambacho kinakiuka maadili ya kisayansi

Wanasayansi wakale walifikiri kua kila kitu kilichotuzunguka tunachokijua na kuki exprience kilianza katika bingbang, miaka bilion 14 iliyopita

Tunawezaje kujua habari za tukio lililotokea miaka mingi iliyopita kabla ya uwepo wetu?


Basi wanasayansi walikua wakwanza kujiuliza swali hilo, ambalo wewe leo umeona kama ni swali jipya na halina majibu

Kuna kitu kinaitwa cloud gas, hii ni outcome iliyotokana na mlipuko wa bingbang, na kuna ushahidi ambao hadi leo hii tunaweza tukauona

Kuna masalia ya bingbang yanayo onyesha wazi chanzo cha ulimwengu

Tunaona ulimwengu unatanuka..
Tunapoangalia juu angani nyakati za usiku tunaona nyota zikiwa ndani ya galaxy yetu.

Lakini pia kuna baadhi ya vitu vinaonekana kihafifu sana (not clearly perceived). Sasa hizo ambazo hazionekani vizuri ni galaxy zingine kama hii yetu, lakini zipo mbali zaidi ya nyota

Karibia kila galaxy zina move uelekeo wa mbali na hii galaxy yetu kwa speed kubwa ya maelfu ya kilomita kwa sec

Kama galaxy zina move kutoka kwetu kuelekea kwingine, maana yake ulimwengu unatanuka. Na kama ulimwengu unatanuka basi lazima tukubali hapo kabla ulikua mdogo.

Kwa hiyo ukirudi nyuma kipindi ulimwengu ulikua mdogo utaona kulikua na muda ambapo kila mada iliyopo katika ulimwengu ili kaa katika point yake na kujitanua kuelekea nje ya ulimwengu. Mechanism iliyokua inafanyika nyakati hizo ndo inaitwa bingbang
 
Haya mambo huanza kwa assumption, ambapo hiyo assumption inafanyiwa majaribio.
Ndiyo maana huwa tunataka mjibu maswali kama hivi,ili tuwaonyeshe ujinga wenu.

Unaanzaje kunahatisha juu ya chanzo cha ulimwengu ?

Lingine kubwa ni hili. Kwanini umake "Assumptions" kwa jambo ambalo tayari lipo ?

Pili,jaribio kuhusu chanzo cha ulimwengu unalifanya kwa kuzingatia misingi gani na marejeo yako yanakuwa ni nini ?
Jambo kuanza na assumption ni mwanzo wa utafiti, ila jambo kuisha kwa assumption ni kitu ambacho kinakiuka maadili ya kisayansi
Huu ni uvivu wa kufikiri tu,siyo lazima jambo lianze na "Assumptions" hapa ndioo uongo wa Sayansi ulipo na kitofautiana kwao kupo hapo hapo,unafanyaje jaribio juu ya jambo ambalo lipo tayari ?
Wanasayansi wakale walifikiri kua kila kitu kilichotuzunguka tunachokijua na kuki exprience kilianza katika bingbang, miaka bilion 14 iliyopita
Wanasayansi wakale wapi unao wazungumzia wewe ? Hiyo kale ni ipi ? Usitake kutudanganya. Nilikuuliza swali la msingi sana,hii nadharia ya Bigbang ilianza kuzungumzwa lini ? Mwanasayansi gani alianza kuizungumza hii ?

Thibitisha ukweli wa miaka bilioni 14 iliyo pita.
Tunawezaje kujua habari za tukio lililotokea miaka mingi iliyopita kabla ya uwepo wetu?
Swali rahisi sana tunalijua kupitia chain ya masimulizi kinyume na hapo huwezi kujua ukweli wa jambo lililo pita kupitia njia za kisayansi,Sayansi haina uwezo huo.
Basi wanasayansi walikua wakwanza kujiuliza swali hilo, ambalo wewe leo umeona kama ni swali jipya na halin
Inaonekana kijana wewe siyo mtafiti kabisa. Wanasayansi wajuzi kabisa hata hao Wanafalsafa wamelikuta swali hilo seuze Wanasayansi wa juzi. Unafiriki kina Plato kwanini walikuwa wanajadili kuhusu chanzo cha Ulimwengu au kina Socrates au Aristoto au kina Thales au kina Pythagoras ?

Hivi kwanini hufanyi utafiti kijana ?
Kuna kitu kinaitwa cloud gas, hii ni outcome iliyotokana na mlipuko wa bingbang, na kuna ushahidi ambao hadi leo hii tunaweza tukauona
Swali la msingi wamejuaje hili ? Hivi ushawahi kusoma masomo ya Sayansi maana nona wewe ni mshabiki yaani mpaka vitu vidogo namna hii unashindwa kuhoji unabeba beba tu ?!
Kuna masalia ya bingbang yanayo onyesha wazi chanzo cha ulimwengu
Yako wapi hayo masalia na wameyajuaje wakati jambo lenyewe limeanzia na "Assumptions" hivi ninacho kiuliza unakielewa ?
Tunaona ulimwengu unatanuka..
Tunapoangalia juu angani nyakati za usiku tunaona nyota zikiwa ndani ya galaxy yetu.
Unajuaje kama ulimwengu unatanuks ? Jaribu kuongea kisayansi kama msingi wako wa hoja usilete "Ungwini" yaani unaelezea mambo ya kisayansi kama stori za vijiweni.

Hili suala la Galaxy ni muendelezo tu wa stori za Wanasayansi na kutoa majina.

Kwahiyo nyota ndiyo zinaonyesha ya kuwa ulimwengu unatuanuka ?

Narudi kuendelea hapa nilipoishia,ila ujibu maswali ninayokuuliza hizi stori zisizo kuwa na ushahidi.
 
Asante kwa kutuelimisha kile ambacho umekielezea ambacho umerudia nlichoeleza kwenye post za juu,

Tafadhali pitia post za juu, utapata maelezo zaid.

Nadhan kama ulikuwa na kitu cha ziada kuongezea kuliko ku'act kana kwamba ww ni mjuaji wa kila kitu by the way i am not professional na ww bila shaka you are not!

so kila mmoja anaelezea alichokielewa kadri ya upeo wake, na ulichonijibu most of it nlishaelezea ktk post za juu so i gain nothing from your post!

Pitia utapata majibu, na hamna sehemu ambayo nimesema ni fact au sio fact, my point nimetoa uwanja kila mmoja apambanue kadri ya upeo wake!

Hizi pointi tunazozitoa ni Mawazo ya watu swala la kuamini kama ni kwel au si kwel hiyo ni personal issues!

Nawasilisha!
Nili m quote DA HUSTLA sio wewe
Halafu hakuna anayejifanya mjuaji, wala sijajua why umeamua kuandika ulichoandika

Kwa sababu sikuku quote wewe,na hakuna ulazima wa mtu kusoma ulicho post before ili aandike yake...

Na unaposema professional una maanisha nini?
 
Cosmology ni sayansi ya Ulimwengu inayohususisha kuanza kwa ulimwengu kupitia theory ya Bing bang na vitu vyote vinavyojumuisha ndan yake kama Galaxies, Stars na planets (sayari) mbalimbali kwa kifupi all matters and anti matters (dark particles/energy) within.

Licha ya kwamba mm ni Medical personnel but at scientist eye view i just wanna look things at different angles and perspectives. At one point in my life imetokea kuwa enthusiastic na maswala ya ulimwengu.

(Universe) kutaka kujua whats going on there, kupenda kufahamu Maswali magumu kama
Are we Alone in the entire Universe!?

Is out planet Earth Special!?

na maswali mengine kadha wa kadha!
ingawa tusiishie hapo pia tukirudi kwenye dunia yetu. how do we evolved from the start of this Planet Earth, i am always fascinated with these kinds of curiosity.

should we have to believe from Religious grounds kwamba tumetokea kutokana na Genesis kwenye uumbaji (Creation) wa dunia au should we rely on Scientific data like we have been evolving from Chimpanzee mpaka kuwa binadamu wa sasa (Homo sapiens) kama ambavyo imeweza kufafanuliwa na Scientist Charles Darwin alipokuja na Theory yake ya Natural selection (Survival of the fittest).

Of coz kuna a lot of stuff that wierdly going on scientifically, Mfano Umri wa Universe mpaka sasa its more than 13 billions years old, while our earth is just 4 billions years old!

Also Evolution ya from Chimpanzee imeanza recently just around 6,000 years ago.

According to scientists, if you compress the time since Universe begins na ukiiweka katika timeline ya miezi 12 (january to December), ni kwamba Binadamu wameanza kujitokeza dunian kuanzia the end of December so in one way or another it probably explains missing contacts with other Civilizations that probably their were doomed to end according to massive time gap ukilinganisha na ya kwetu duniani.

Nigusie kitu kingine, kuna kitu kinaitwa Dark Matter, nirudi nyuma kidogo tulipokuwa shulen kwenye Physics tulijifunza kuhusu matter, right!? that is anything occupies space and have mass! Ambapo the smallest unit of Matter ni Atom ambapo ukiingia ndan zaid unakutana na 3 particles hii kwenye chemistry zaidi ambazo ni Protons, Neutrons na Electrons.

Hiyo ni Matter tunayoifahamu what about Dark Matter hii idea imetokea wap na imeanzaje hapo ndipo unakuja Utamu wa Cosmology. The Truth is mpaka sasa Scientists have not been able to detect the Dark Matter but only its effects is observed.

Turudi hapa tangu kutokea kwa Big Bang (mwanzo wa Universe) Universe has been expanding massively at faster rate (roughly around 7.3 km/sec), it means that as time goes on everything move away from each other or maana nyingine kila Galaxy, Stars and distant planets especially ambazo zipo nje ya galaxy yetu zinamove away from us.

So according to scientists there are some particles/energy which exhibit strange behaviour contrary to Normal Matter which enables the expansion of the Universe, and worse enough, particular matter cannot reflect light ili iweze kuonekana ndo maana imepelekea Wanasayanzi Kuziita Dark Matter/energy, inawezekana kwa teknojia ya sasa tunaweza tusiwezi kudetect hizo matter, kwa miaka ya mbelen it is possible!

kama nawe upo Passionate na Enthusiastic enough kwenye maswala ya Cosmology na Universe kiujumla ktk Scientific angle lets share the ideas.

Karibuni!
Ombi lako limesikiwa na limefanyiwa kazi James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani
 
Ndiyo maana huwa tunataka mjibu maswali kama hivi,ili tuwaonyeshe ujinga wenu.

Unaanzaje kunahatisha juu ya chanzo cha ulimwengu ?

Lingine kubwa ni hili. Kwanini umake "Assumptions" kwa jambo ambalo tayari lipo ?

Pili,jaribio kuhusu chanzo cha ulimwengu unalifanya kwa kuzingatia misingi gani na marejeo yako yanakuwa ni nini ?

Huu ni uvivu wa kufikiri tu,siyo lazima jambo lianze na "Assumptions" hapa ndioo uongo wa Sayansi ulipo na kitofautiana kwao kupo hapo hapo,unafanyaje jaribio juu ya jambo ambalo lipo tayari ?

Wanasayansi wakale wapi unao wazungumzia wewe ? Hiyo kale ni ipi ? Usitake kutudanganya. Nilikuuliza swali la msingi sana,hii nadharia ya Bigbang ilianza kuzungumzwa lini ? Mwanasayansi gani alianza kuizungumza hii ?

Thibitisha ukweli wa miaka bilioni 14 iliyo pita.

Swali rahisi sana tunalijua kupitia chain ya masimulizi kinyume na hapo huwezi kujua ukweli wa jambo lililo pita kupitia njia za kisayansi,Sayansi haina uwezo huo.

Inaonekana kijana wewe siyo mtafiti kabisa. Wanasayansi wajuzi kabisa hata hao Wanafalsafa wamelikuta swali hilo seuze Wanasayansi wa juzi. Unafiriki kina Plato kwanini walikuwa wanajadili kuhusu chanzo cha Ulimwengu au kina Socrates au Aristoto au kina Thales au kina Pythagoras ?

Hivi kwanini hufanyi utafiti kijana ?

Swali la msingi wamejuaje hili ? Hivi ushawahi kusoma masomo ya Sayansi maana nona wewe ni mshabiki yaani mpaka vitu vidogo namna hii unashindwa kuhoji unabeba beba tu ?!

Yako wapi hayo masalia na wameyajuaje wakati jambo lenyewe limeanzia na "Assumptions" hivi ninacho kiuliza unakielewa ?

Unajuaje kama ulimwengu unatanuks ? Jaribu kuongea kisayansi kama msingi wako wa hoja usilete "Ungwini" yaani unaelezea mambo ya kisayansi kama stori za vijiweni.

Hili suala la Galaxy ni muendelezo tu wa stori za Wanasayansi na kutoa majina.

Kwahiyo nyota ndiyo zinaonyesha ya kuwa ulimwengu unatuanuka ?

Narudi kuendelea hapa nilipoishia,ila ujibu maswali ninayokuuliza hizi stori zisizo kuwa na ushahidi.
Mkuu wewe hoja yako ni ipi??
Unapingana na hizi hoja zinazotolewa hapa je wewe hoja zako ni zipi ??

Unapinga kwa utashi wako tuu au una evidence kusindikiza mapingamizi yako.

Hoja za kisayansi pinga kisayansi ama lah leta vithibitisho ulivyo/ vilivyofanyiwa utafiti mkuu, unapinga hoja kwa tantarila tu kama siasa vile.
 
Back
Top Bottom