Hebu thubutu kufikiria, kwa mfano ule ambao mheshimiwa rais JPM aliutoa wakati anaongea na wabunge; kiwanda kimoja cha ongeza thamani ya ngozi, tutegemee bidhaa hizi (products) ni Viatu, mikanda, mikoba ya kike, wallet za kike na kiume, mabegi n.k. hatua moja mbele, tukiweza kutoa ngozi ya kutosha kukidhi mahitaji ya kiwanda, then tunaweza kuanza kuchukua hatua za kibiashara kama taifa, kutoa ruzuku na kuongeza kodi kwa products za aina hii zinazoingizwa kutoka nje.
Hatua inayofuata ni kuongeza ubora na ku mandate wananchi kwa ujumla kuenzi kwa kununua na kutumia bidhaa hizo za ndani.
Tahadhali ni kwamba wale ambao wanao uzoefu wa soko, wanaweza kuja juu ili kugombelezea soko (protectionism) na kulipiza kisasi (retaliation). Lakini tukijiaminisha na kujiweka tayari tunaweza kusonga mbele.
Pili, uje kwenye soko la uvuvi mkublwa; zingatia kwamba mpaka sasa kitoeo cha samaki tunacho pata ni kile kipatikanacho kwa uvuvi hafifu (non sustainable fishing). Ikifanyika ikawezekana, viwanda vya kusindika samaki vitafanya watanzania wapate kitoeo hicho kwa muda mrefu katika mwaka ( siyo wa msimu).
Ajira;
Fikiria ni kwa namna gani vijana wanaosubiri ajira (available human resources) watakavyozipata bila kugombea.
Sasa fikiria vivyo hivyo kwa viwanda vyote vinavyotarajia kuamshwa (redeemed), naweza kufikiria kwamba itafika mahala tutahitaji kuajiri wageni kwa kazi za kawaida ( non experts) kwani vyuo na soko letu la ajira litakuwa consumed.
Sasa jambo la msingi ni kuunga mkono juhudi za Dr JPM na kutokuwa mashaka au pande zisizoleta tija kwa namna yoyote.
Ukombozi ndiyo huu.
Hatua inayofuata ni kuongeza ubora na ku mandate wananchi kwa ujumla kuenzi kwa kununua na kutumia bidhaa hizo za ndani.
Tahadhali ni kwamba wale ambao wanao uzoefu wa soko, wanaweza kuja juu ili kugombelezea soko (protectionism) na kulipiza kisasi (retaliation). Lakini tukijiaminisha na kujiweka tayari tunaweza kusonga mbele.
Pili, uje kwenye soko la uvuvi mkublwa; zingatia kwamba mpaka sasa kitoeo cha samaki tunacho pata ni kile kipatikanacho kwa uvuvi hafifu (non sustainable fishing). Ikifanyika ikawezekana, viwanda vya kusindika samaki vitafanya watanzania wapate kitoeo hicho kwa muda mrefu katika mwaka ( siyo wa msimu).
Ajira;
Fikiria ni kwa namna gani vijana wanaosubiri ajira (available human resources) watakavyozipata bila kugombea.
Sasa fikiria vivyo hivyo kwa viwanda vyote vinavyotarajia kuamshwa (redeemed), naweza kufikiria kwamba itafika mahala tutahitaji kuajiri wageni kwa kazi za kawaida ( non experts) kwani vyuo na soko letu la ajira litakuwa consumed.
Sasa jambo la msingi ni kuunga mkono juhudi za Dr JPM na kutokuwa mashaka au pande zisizoleta tija kwa namna yoyote.
Ukombozi ndiyo huu.