Tuwape tena CCM 2015? Ila kabla ya kuwapa tujiulize wamefanya nini kwa miaka 50 tuliyowapa na tumefaidika kwa lipi? Je wenzetu tuliopata uhuru nao au baada ya sisi wako wapi?maana hawachelewi kusema barabara nzuri wamejenga mashule yasiyokuwa na walimu muindo mbinu vyuo vya kata ndege za kukodi ,tunawaza kuongeza safari za mikoani wakati wenzetu wana waza kuongeza safari za nje na idadi ya ndege.
Tuwangalie wenzetu kama Rwanda ,Kenya, Afrika kusini ,Zimbabwe na wengineo.Je Ccm bado wanatufaa ? Tunataka mabadiliko,tunataka elimu, tunataka ajira huduma bora za afya ,viwanda kilimo bora na nchi isiyo kuwa ya mafisadi .Je bado huyu mwali anasifa za kuwa mke bora? Je unaridhika na kiwango chako cha mshahara ulicho pangiwa na serekali yako? Sera za mifuko ya kijamii?
Jf najua kuna vijana wengi huku tuliangalie hili na kuchangia bila kuangalia itikadi za vyama vyetu.
Tuwangalie wenzetu kama Rwanda ,Kenya, Afrika kusini ,Zimbabwe na wengineo.Je Ccm bado wanatufaa ? Tunataka mabadiliko,tunataka elimu, tunataka ajira huduma bora za afya ,viwanda kilimo bora na nchi isiyo kuwa ya mafisadi .Je bado huyu mwali anasifa za kuwa mke bora? Je unaridhika na kiwango chako cha mshahara ulicho pangiwa na serekali yako? Sera za mifuko ya kijamii?
Jf najua kuna vijana wengi huku tuliangalie hili na kuchangia bila kuangalia itikadi za vyama vyetu.