Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Nyimbo zina ushawishi mkubwa na huu utampinga fisadi kama Kabanga alivyompinga mkoloni.
Banda wa Malawi alipotaka kumega ziwa Nyasa tulimkemea kwa wimbo akaachana na tamaa zake.
Tuliimba Banda Banda wa Malawi...
Hata Idi Amin alifukuzwa kwa nyimbo tu na risasi baadaye kabisa.
Tuimbe na hawa mafisadi wa CCM watatokomea kusikojulikana