Welcome mgeni hili jukwaa linaitwa MMU, ya halotel hayahusiki humu
Pili sio kila mtu anamiliki simu sababu ya mb,kuna mawasiliano muhimu yanayotumia dakika,sms
Wewe hamia kimya kimya sio lazima kuja kusumbua server za jf.
watu wote wakihamia halotel nao watakua jeuri wa kushusha data na kasi yao ya network itakua mwendo wa kobe