Namane
Member
- Mar 7, 2014
- 63
- 16
Mmmh!
Mtu huyu tulimjua ni mwema, tulipongeza kazi zake na kila mtu anaziona. Ajabu anapoomba kututumikia kwa nafasi ya juu, watu wanatafuta watuhumiwa, wanajitahidi kuwasafisha, wanamtukana waliyempenda, ili tu uongozi wa nchi wachukue wao, watu tusiojua kabisa utendaji wao.
Uchaguzi siku zote hufanyika baada ya kufikiti sana, si kwa ushabiki na mkumbo. FIKIRI SANA KABLA YA KUCHAGUA, usije ukaambulia kisichofaa.
Mtu huyu tulimjua ni mwema, tulipongeza kazi zake na kila mtu anaziona. Ajabu anapoomba kututumikia kwa nafasi ya juu, watu wanatafuta watuhumiwa, wanajitahidi kuwasafisha, wanamtukana waliyempenda, ili tu uongozi wa nchi wachukue wao, watu tusiojua kabisa utendaji wao.
Uchaguzi siku zote hufanyika baada ya kufikiti sana, si kwa ushabiki na mkumbo. FIKIRI SANA KABLA YA KUCHAGUA, usije ukaambulia kisichofaa.