Tufunge mjadala wa Ben Rabiu Saanane Kistaarabu

wiseboy.

JF-Expert Member
Aug 11, 2014
2,932
4,542
Naomba uwe ni mjadala wa kistaarabu kabisa Nawaomba mods mtu yeyote akitaka kuvuruga mjadala huu apewe ban,usiwe mjadala wa kisiasa uwe wa kibinadamu tu.
Ndugu yetu, rafiki yetu, kaka yetu, mdogo wetu, mtoto wetu, mjomba wetu, binamu yetu na n.k hatujui alipo hadi sasa.

Mtu asiye julikana alimtishia maisha kupitia ujumbe mfupi wa simu.
Hadi sasa hakuna aliyekamatwa kuhusiana na vitisho hivyo.

Hatujui iwapo Ben ni mzima huko alipo au tayari hatupo naye tena duniani.
Kinachohuzunisha na kuumiza zaidi ni kwamba "Ben has left no trail to trace behind ".
Tabia ya kuwanyoshea kidole watu kuwa eti ni flani anajua alipo Ben au kamficha ni tabia ya ajabu Sana.

Ingekuwa ni Marekani hadi sasa Tungekuwa tumeshajua ni nini kilimpata Ben, labda Kwa Sababu siye bado tupo nyuma kitekinolojia lakini ingesaidia Sana kumtambua hata Kwa sasa mtu aliyemtishia maisha Ben maana namba zake za simu Zipo wazi.

Matatizo yaliyomkuta Ben si ya kufurahia hata kidogo, yanaumiza na kufikirisha Sana, hebu fikiria endapo Ben angelikuwa mtoto wako, au ndugu yako , how would you have felt?

Tatizo la Ben linaweza kumkuta mtu yeyote yule, ndugu zangu, tunaijua leo ila hakuna aijuaye kesho, kesho ni ya Mungu.

Naomba tuufunge mjadala huu Kwa kumwombea ndugu yetu popote pale alipo, bila kujali tofauti zetu kisiasa.

Na Mungu aikumbatie familia yake na wazazi wake.
 
Okey umeeleweka..lakini unataka kufunga mjadala kwa kuanzisha thread ya maombi maalum. Je wakati anaondoka kwani yalifanyika maombi kwa kule alikokwenda jificha. We should see things at all three sides of the coin.
Mkuu rudia tena kusoma mada yangu Kwa umakini mkubwa.
Una ushahidi kabisa kuwa Ben aliondoka na kwenda kujificha? Narudia tena unao ushahidi huo? Na kaenda kujificha wapi ambako hakufikiki?
Naomba uweke ushahidi hapa Kwa faida ya wote.
 
Okey umeeleweka..lakini unataka kufunga mjadala kwa kuanzisha thread ya maombi maalum. Je wakati anaondoka kwani yalifanyika maombi kwa kule alikokwenda jificha. We should see things at all three sides of the coin.
una ushahidi na maneno usemayo
 
Huwezi kutenganisha hili la Ben na siasa na hilo swala lako la kupigwa ban sijui nini unaleta udikteta wakati Jf is where we dare to talk openly na kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake ilmradi havunji sheria ,sasa niambie haya maneno yako lini yamekuwa sheria

Ben sijui upo hai ama umefariki ,popote ulipo utakumbukwa daima

NB swala la mtu kupotea/ kufariki halifungwi kienyeji hivi

Aluta continua......
V..... A.........
 
Eti ingekuwa marekani hadi sasa tungeshajua nini kkilimpata Ben! Una uhakika?? Kuna watu huko US wanapotea hadi 20 years ndo inakuja kugundulika alikumbwa na nini...na hata hapo inajulikana sio kwa ujuzi wa makachero....ila muuwaji mwenyewe kuamua ku confess/ kukiri mauaji out of 'guilt-conscious'
 
kuna wakati watu wanatakiwa kufikiria sana kabla ya kuandika kitu au kutamka.Ben alifikiria anaweza kufanya kitu anachotaka wakati wowote na hii haikubaliki.
 
Naomba uwe ni mjadala wa kistaarabu kabisa Nawaomba mods mtu yeyote akitaka kuvuruga mjadala huu apewe ban,usiwe mjadala wa kisiasa uwe wa kibinadamu tu.
Ndugu yetu, rafiki yetu, kaka yetu, mdogo wetu, mtoto wetu, mjomba wetu, binamu yetu na n.k hatujui alipo hadi sasa.
Mtu asiye julikana alimtishia maisha kupitia ujumbe mfupi wa simu.
Hadi sasa hakuna aliyekamatwa kuhusiana na vitisho hivyo.
Hatujui iwapo Ben ni mzima huko alipo au tayari hatupo naye tena duniani.
Kinachohuzunisha na kuumiza zaidi ni kwamba "Ben has left no trail to trace behind ".
Tabia ya kuwanyoshea kidole watu kuwa eti ni flani anajua alipo Ben au kamficha ni tabia ya ajabu Sana.
Ingekuwa ni Marekani hadi sasa Tungekuwa tumeshajua ni nini kilimpata Ben, labda Kwa Sababu siye bado tupo nyuma kitekinolojia lakini ingesaidia Sana kumtambua hata Kwa sasa mtu aliyemtishia maisha Ben maana namba zake za simu Zipo wazi.
Matatizo yaliyomkuta Ben si ya kufurahia hata kidogo, yanaumiza na kufikirisha Sana, hebu fikiria endapo Ben angelikuwa mtoto wako, au ndugu yako , how would you have felt?
Tatizo la Ben linaweza kumkuta mtu yeyote yule, ndugu zangu, tunaijua leo ila hakuna aijuaye kesho, kesho ni ya Mungu.
Naomba tuufunge mjadala huu Kwa kumwombea ndugu yetu popote pale alipo, bila kujali tofauti zetu kisiasa.
Na Mungu aikumbatie familia yake na wazazi wake.
It's very touching, Ben is missing na still none cares. Watu wa karibu wa Ben mko wapi? Kwa nn mmekaa kimya hivyo? Kwa nn?
Au taarifa za Ben no Siri?
Tunaomba mtusaide kujua, our bro. Ben huko wapi? Siamini kwamba ben amejificha ili kutengeneza popularity, siamini.
 
Naomba uwe ni mjadala wa kistaarabu kabisa Nawaomba mods mtu yeyote akitaka kuvuruga mjadala huu apewe ban,usiwe mjadala wa kisiasa uwe wa kibinadamu tu.
Ndugu yetu, rafiki yetu, kaka yetu, mdogo wetu, mtoto wetu, mjomba wetu, binamu yetu na n.k hatujui alipo hadi sasa.
Mtu asiye julikana alimtishia maisha kupitia ujumbe mfupi wa simu.
Hadi sasa hakuna aliyekamatwa kuhusiana na vitisho hivyo.
Hatujui iwapo Ben ni mzima huko alipo au tayari hatupo naye tena duniani.
Kinachohuzunisha na kuumiza zaidi ni kwamba "Ben has left no trail to trace behind ".
Tabia ya kuwanyoshea kidole watu kuwa eti ni flani anajua alipo Ben au kamficha ni tabia ya ajabu Sana.
Ingekuwa ni Marekani hadi sasa Tungekuwa tumeshajua ni nini kilimpata Ben, labda Kwa Sababu siye bado tupo nyuma kitekinolojia lakini ingesaidia Sana kumtambua hata Kwa sasa mtu aliyemtishia maisha Ben maana namba zake za simu Zipo wazi.
Matatizo yaliyomkuta Ben si ya kufurahia hata kidogo, yanaumiza na kufikirisha Sana, hebu fikiria endapo Ben angelikuwa mtoto wako, au ndugu yako , how would you have felt?
Tatizo la Ben linaweza kumkuta mtu yeyote yule, ndugu zangu, tunaijua leo ila hakuna aijuaye kesho, kesho ni ya Mungu.
Naomba tuufunge mjadala huu Kwa kumwombea ndugu yetu popote pale alipo, bila kujali tofauti zetu kisiasa.
Na Mungu aikumbatie familia yake na wazazi wake.
Kuna mambo ambayo kila nikiwaza yananipa imani kuwa Ben yu hai.
Nimesoma maelezo ya Mwigulu zaidi ya mara tatu na alivyojinasibisha urafiki na Ben.
Nilimsikiliza Mwigulu akihojiwa siku ya Maulid na jinsi alivyo respond kuhusu baadhi ya mambo tata.
Nilisikia sauti za viongozi wa Chadema kuanzia Lissu na Mbowe (?kama kuna kiju wanakijua hivi?)
Na bado natafakari kimya cha ghafla cha baba mzazi wa Ben.
Kuwa hai au kuwa maiti si muhimu sana kwa sasa ila "the motive behind the whole event"
 
Naomba uwe ni mjadala wa kistaarabu kabisa Nawaomba mods mtu yeyote akitaka kuvuruga mjadala huu apewe ban,usiwe mjadala wa kisiasa uwe wa kibinadamu tu.
Ndugu yetu, rafiki yetu, kaka yetu, mdogo wetu, mtoto wetu, mjomba wetu, binamu yetu na n.k hatujui alipo hadi sasa.
Mtu asiye julikana alimtishia maisha kupitia ujumbe mfupi wa simu.
Hadi sasa hakuna aliyekamatwa kuhusiana na vitisho hivyo.
Hatujui iwapo Ben ni mzima huko alipo au tayari hatupo naye tena duniani.
Kinachohuzunisha na kuumiza zaidi ni kwamba "Ben has left no trail to trace behind ".
Tabia ya kuwanyoshea kidole watu kuwa eti ni flani anajua alipo Ben au kamficha ni tabia ya ajabu Sana.
Ingekuwa ni Marekani hadi sasa Tungekuwa tumeshajua ni nini kilimpata Ben, labda Kwa Sababu siye bado tupo nyuma kitekinolojia lakini ingesaidia Sana kumtambua hata Kwa sasa mtu aliyemtishia maisha Ben maana namba zake za simu Zipo wazi.
Matatizo yaliyomkuta Ben si ya kufurahia hata kidogo, yanaumiza na kufikirisha Sana, hebu fikiria endapo Ben angelikuwa mtoto wako, au ndugu yako , how would you have felt?
Tatizo la Ben linaweza kumkuta mtu yeyote yule, ndugu zangu, tunaijua leo ila hakuna aijuaye kesho, kesho ni ya Mungu.
Naomba tuufunge mjadala huu Kwa kumwombea ndugu yetu popote pale alipo, bila kujali tofauti zetu kisiasa.
Na Mungu aikumbatie familia yake na wazazi wake.
Kwann unakurupukia kusema tufunge mjadala?? Me nikajua unataka tuanze kuipigia kelele serikali itoe tmko la kueleweka!!

Ungepotea wewe hiv ungefurahi kusikia au ndugu zako wangefurahi kusikia kauli km hizo za kufunga fail haraka haraka wakat haijajulikani nini hatima?? Uhai wa mtu sio kitu cha mzaha mzaha, hata km angekuwa hohe hahe.

Me nadhan watanzania umefika wakati tuiangalie serikali yetu na vyombo vya usalama kwa jicho la tatu...mbona huwa kuna matukio ya ajabu wanafanyiwa watanznia wenzetu af mwisho wa siku yanaisha kimya Kimya????????
Kwann? Hiv usalama uko wapi? Umoja uko wapi? Vyombo vya sheria viko wapi? Watu wa haki za kibinadamu wako wapi??
Tunaishi km wanyama bana...mtu anuliwa, huyu anang'olewa meno..huyu anafnywa hivi inakuwa habari, kesho inaletwa habari nyingne tena ya kipuuuzi tu inafunika hii!!

Na sisi watanzania tusivyo na utu wala umoja ukichanganya na ujinga wa kutokujielewa as long as haikuhusu wewe na familia yako unajiona upo salama zaidi then tunajifanya tumesahau...omba siku yakufike, au yafike ndani ya familia..ndo utajua uchungu!!

Mimi bado naamini serikali inao uwezo wa kulifuatilia hili tatizo, Jeshi la police naomba litumie ile intelejensia yake mwisho itolee majibu swala hili, ili kutuondoa mashaka na walakin kwa fmilia ya Beni na waTanzania km mimi ambao sasa tunakosa amani kwa mtukio km haya. Kiuhalisia hii ni zaid ya ujambazi km kwel katekwa au alitekwa, km kajificha km inavyodiwa pia asakwe aletwe mbele ya watanzania kuondoa walakin afu apewe adhabu Kali ya kudangnya na kusumbua familia na umma maana nalo linawezekana mana watanzania kwa maigizo. Ila wapi huko pakujificha ambapo Serikali inashindwa kukupata??

Km kweli huyo Ben alikuwa na cm kwann yasifuatiliwe mawasilino yake? TCRA c mpo, mbona wezi wa simu hukamatwa kila siku, au undo mpo kwenye operation inafanyika Kimya Kimya? Km ndivyo it is good ila km kweli hakuna lolote linaloendelea bas aysee hata mie naogopa sana kuishi Tanzania humu maana mtu unaweza fanywa lolote na usifanye lolote wala vyombo vya sheria na haki navyo visifnye lolote inabaki waatu kwenye mitandao wataongea ongea tu km siasa then iwe imepita hiyo....too bad!
 
Kwann unakurupukia kusema tufunge mjadala?? Me nikajua unataka tuanze kuipia kelele serikali itoe tmko la kueleweka!!

Ungepotea wewe hiv ungefurahi kusikia au ndugu zako wangefurahi kusikia kauli km hizo za kufunga fail haraka haraka wakat haijajulikani nini hatima?? Uhai wa mtu sio kitu cha mzaha mzaha, hata km angekuwa hohe hahe.

Me nadhan watanzania umefika wakati tuiangalie serikali yetu na vyombo vya usalama kwa jicho la tatu...mbona huwa kuna matukio ya ajabu wanafanyiwa watanznia wenzetu af mwisho wa siku yanaisha kimya Kimya????????
Kwann? Hiv usalama uko wapi? Umoja uko wapi? Vyombo vya sheria viko wapi? Watu wa haki za kibinadamu wako wapi??
Tunaishi km wanyama bana...mtu anuliwa, huyu anang'olewa meno..huyu anafnywa hivi inakuwa habari, kesho inaletwa habari nyingne tena ya kipuuuzi tu inafunika hii!!

Na sisi watanzania tusivyo na utu wala umoja ukichanganya na ujinga wa kutokujielewa as long as haikuhusu wewe na familia yako unajiona upo salama zaidi then tunajifanya tumesahau...omba siku yakufike, au yafike ndani ya familia..ndo utajua uchungu!!

Mimi bado naamini serikali inao uwezo wa kulifuatilia hili tatizo, Jeshi la police naomba litumie ile intelejensia yake mwisho itolee majibu swala hili, ili kutuondoa mashaka na walakin kwa fmilia ya Beni na waTanzania km mimi ambao sasa tunakosa amani kwa mtukio km haya. Kiuhalisia hii ni zaid ya ujambazi km kwel katekwa au alitekwa, km kajificha km inavyodiwa pia asakwe aletwe mbele ya watanzania kuondoa walakin afu apewe adhabu Kali ya kudangnya na kusumbua familia na umma maana nalo linawezekana mana watanzania kwa maigizo. Ila wapi huko pakujificha ambapo Serikali inashindwa kukupata??

Km kweli huyo Ben alikuwa na cm kwann yasifuatiliwe mawasilino yake? TCRA c mpo, mbona wezi wa simu hukamatwa kila siku, au undo mpo kwenye operation inafanyika Kimya Kimya? Km ndivyo it is good ila km kweli hakuna lolote linaloendelea bas aysee hata mie naogopa sana kuishi Tanzania humu maana mtu unaweza fanywa lolote na usifanye lolote wala vyombo vya sheria na haki navyo visifnye lolote inabaki waatu kwenye mitandao wataongea ongea tu km siasa then iwe imepita hiyo....too bad!
Unataka kuipigia makelele serikali kwani wao ndio walikuwa wakifanya kazi nae. Kuna uhusiano wowote kati ya serikali na Ben ? Unakwepa ukweli kwa nini. Ipigie makelele wale waliokuwa wakifanya kazi naye kwa ukaribu. Wakiamka wako nae na wakienda kulala wako nae. Hawa ndio waeleze kulikoni. Sasa ukiona wahusika wakuu wapo kimya basi akili za mbayuwayu changanya na za kwako.
 
Kwani wale marehemu waliozikwa kule mto Ruvu wamesha chukuliwa vipimo vya DNA kujua kuwa Ben hakuwemo katika vile viroba vya sandarusi vilivyokutwa vinaelea kule mtoni?

Kuna ugumu gani kujiridhisha na kututoa shaka kuhusiana na maiti zile?

Kama utafiti wa kina umefanyika kwa marehemu Faru John nini kikwazo ktk zile maiti za kwenye mifuko ya Sandarusi?
 
Kwann unakurupukia kusema tufunge mjadala?? Me nikajua unataka tuanze kuipigia kelele serikali itoe tmko la kueleweka!!

Ungepotea wewe hiv ungefurahi kusikia au ndugu zako wangefurahi kusikia kauli km hizo za kufunga fail haraka haraka wakat haijajulikani nini hatima?? Uhai wa mtu sio kitu cha mzaha mzaha, hata km angekuwa hohe hahe.

Me nadhan watanzania umefika wakati tuiangalie serikali yetu na vyombo vya usalama kwa jicho la tatu...mbona huwa kuna matukio ya ajabu wanafanyiwa watanznia wenzetu af mwisho wa siku yanaisha kimya Kimya????????
Kwann? Hiv usalama uko wapi? Umoja uko wapi? Vyombo vya sheria viko wapi? Watu wa haki za kibinadamu wako wapi??
Tunaishi km wanyama bana...mtu anuliwa, huyu anang'olewa meno..huyu anafnywa hivi inakuwa habari, kesho inaletwa habari nyingne tena ya kipuuuzi tu inafunika hii!!

Na sisi watanzania tusivyo na utu wala umoja ukichanganya na ujinga wa kutokujielewa as long as haikuhusu wewe na familia yako unajiona upo salama zaidi then tunajifanya tumesahau...omba siku yakufike, au yafike ndani ya familia..ndo utajua uchungu!!

Mimi bado naamini serikali inao uwezo wa kulifuatilia hili tatizo, Jeshi la police naomba litumie ile intelejensia yake mwisho itolee majibu swala hili, ili kutuondoa mashaka na walakin kwa fmilia ya Beni na waTanzania km mimi ambao sasa tunakosa amani kwa mtukio km haya. Kiuhalisia hii ni zaid ya ujambazi km kwel katekwa au alitekwa, km kajificha km inavyodiwa pia asakwe aletwe mbele ya watanzania kuondoa walakin afu apewe adhabu Kali ya kudangnya na kusumbua familia na umma maana nalo linawezekana mana watanzania kwa maigizo. Ila wapi huko pakujificha ambapo Serikali inashindwa kukupata??

Km kweli huyo Ben alikuwa na cm kwann yasifuatiliwe mawasilino yake? TCRA c mpo, mbona wezi wa simu hukamatwa kila siku, au undo mpo kwenye operation inafanyika Kimya Kimya? Km ndivyo it is good ila km kweli hakuna lolote linaloendelea bas aysee hata mie naogopa sana kuishi Tanzania humu maana mtu unaweza fanywa lolote na usifanye lolote wala vyombo vya sheria na haki navyo visifnye lolote inabaki waatu kwenye mitandao wataongea ongea tu km siasa then iwe imepita hiyo....too bad!
ivi Ben amepotea?
hahaha
 
Back
Top Bottom