passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,523
- 12,502
Nimeangalia hali ya kesho ya Tanzania na inaonekana wazi kuwa bila kuchukua hatua mapema tutapata madhara makubwa.
Naomba wanaume wa nchi hii wachukue hatua kumng’oa huyo Mama pamoja na Bt, na wote waliogusa au kushiriki katika mauaji wakamatwe na kufikishwa kwenye mkondo wa sheria bila upendeleo.
Nchi ipo kwenye hali mbaya. Hao wachache wanaosababisha machafuko waondolewe mara moja. Hivi ndani ya CCM hakuna mtu mwenye uchungu na sisi ndugu zao?
Naomba wanaume wa nchi hii wachukue hatua kumng’oa huyo Mama pamoja na Bt, na wote waliogusa au kushiriki katika mauaji wakamatwe na kufikishwa kwenye mkondo wa sheria bila upendeleo.
Nchi ipo kwenye hali mbaya. Hao wachache wanaosababisha machafuko waondolewe mara moja. Hivi ndani ya CCM hakuna mtu mwenye uchungu na sisi ndugu zao?