Tuendako sio kuzuri!

Kumbuka na lile agizo la wabunge kutokwenda kumjulia hali Lissu aliposhambuliwa.
Watu msiumeume maneno, chanzo cha nchi hii kuharibika ni mwenyekiti wa CCM kutoa kauli za utengano. Nchi ikitumbukia mambo kama ya Rwanda mzigo wa dhambi zote ni wake.
Wenye uwezo wa kumuambia kwa ukaribu wamwambie point blank
 
Amen, naunga mkono hoja.
Naamini hili hata Blaza yaani Bro Mkubwa ameliona hivyo atawaita kukutana nao home na kutoa mawazo yao na duku duku zao.
P.
Never, ameshaonyesha sio mtu wa kujifunza kutoka kwa wengine.
Hilo sio la kumlaumu maana ni inborn behavior, kosa lilikuwa ni pale Dodoma kwenye maamuzi ya zimamoto
 
Binafsi naumia kuona hali inavyozidi, ni kama tunaingia kwenu giza totoro. Siuoni tena mshikamano watu. Mwalimu Nyerere alisema maadui watu ni watatu ujinga, umasikini, maradhi naona kama adui namba nne anaingia (chuki na utengano). Jamani tunaenda wapi?
Amen, naunga mkono hoja.
Naamini hili hata Blaza yaani Bro Mkubwa ameliona hivyo atawaita kukutana nao home na kutoa mawazo yao na duku duku zao.
P.
 
Tatizo ccm inalqzimisha kukubalika kwa kutumia green guards, police, jeshi na hata hizi mahakama za mwanzo mwanzo
 
Kuna siku nilipita sehemu nkakuta vijana wanaongea wanasema "tunataka la manyani" Tumjue nani yuko upande gani nkauliza jmn la manyani ndo nini wakasema tunatamani tuingie msituni dah niliwaza sana mpaka nikaogopa mawazo vijana wenzangu waliyo nayo kwa sasa.
 
Bahati mbaya hata wenye PhD wamemua kupalilia hii kitu. Rejea kauli ya mpango bungeni
 
kabisa kwa vitendo kama vya Polisi Morogoro kuzuia mkutano wa Chadema na kuruhusu Mkutano wa CCM kwa sababu za kipumbavu namna hile hawa nao Polisi hawaitakii mema nchi yetu
 
Mwanadamu asiyekubali kukosolewa basi ujue huyo ana mapungufu mengi na hafai hata kuwa kiongozi wa familia..maana ukimkosoa tu anakimbilia shoka!!
 
Ni sawa ili kizazi kipya kike kuhukumu wapi tulikosea wapi tulisimama ukweli
 
Kwangu adui wa kwanza ni mwanaccm , sijashiriki misiba yao mtaani kwangu huu ni mwaka wa 3 sasa , halafu wao pia wanafahamu kwamba sishirikiani nao kwa lolote , na namuomba Mungu aendelee kunipa ujasiri wa kuwatenga zaidi



Uko kama mimi...sipend na sihitaj rafiki kindakindaki mwanaccm

cc😡Brittanica
 
Mwaka ujao 2020, UPINZANI watauwawa sana na CCM wakitumia vyombo vya dola ukubali usikubali, wagombea udiwani wenye ushawishi watauwawa na wana ccm tena hadharani na hakuna hatua zitakazo chukuliwa.

Kwa sababu kila greenguard siku hizi ni usalama, chuki inajengwa kwa vijana na ujue hili tayari liko katika kutekelezwa.
Na katika ccm kuna upande wa mtawala wa sasa na upande wa pili wale wabishi. Kundi lenye nguvu ni hili lenye uwezo wa kutumia polisi, wengine ama watakimbilia upinzani ama wanyamaze la sivyo kifo.

Hii chuki siyo kitu cha bahati mbaya kwa sababu siasa zinajengwa kwa usimba na yanga, kwenye siasa upinzani wa namna hii wenyewe huenda mbele zaidi yaani kuuana.

Ni seme jingine gumu kabisa watawala hawa wanajitengenezea kutawala maisha. 2025 utasikia kutoka bunge, wananchi, majeshi wakisema tunataka aendelee
 
kabisa kwa vitendo kama vya Polisi Morogoro kuzuia mkutano wa Chadema na kuruhusu Mkutano wa CCM kwa sababu za kipumbavu namna hile hawa nao Polisi hawaitakii mema nchi yetu

Hivi imekuwaje Tanzania ya sasa wanaume kama Mdude Nyagali na Tundu Lissu wamekuwa wakuhesabu?
 
Yanayoendelea kutokea kwenye kampeni za uchaguzi wa local government ni mfano wa yale makubwa zaidi yatakayotokea kwenye uchaguzi mkuu mwaka kesho.
 
Mkuu unaachaje kuyachukia majitu yanayo tangaza kupoteza raia wenzao kwa sababu ya madaraka? Hujasikia yanavyo kejeli mpizani aliyepigwa risasi Morogoro?
 
Kinara wa siasa za chuki anajulikana ni JPM.. Hawa UVCCM wanafwatisha tu
 
binafsi namchukia sana mccm kwa sababu ananichukia mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…