quality group ni kampuni ambayo inamilikiwa na sukiana manji,yusuph manji's mother.kuhusu mfumo wa uongozi ni pasua kichwa manji ni executive chairman,arif iqbal sheikh ni more-derech of group alikuwa promoted baada ya kufanya kazi kubwa akiwa ceo kama IV PLANTS in mwanza.mradi wa stone village.kiwanda cha matrekta,viwanda viwili vya sukari na kiwanda cha maziwa.e kiosk na makampuni mengine mapya ndani na nje ya nchi kama fasta fasta, pamojaapp,leoleo,leoplus,purple cowe media ambao ndio wasimamizi wa tanzanialeadership award.quality health limited few to mention.mr manji akaamua kumpatia cheo alichokuwa nacho yeye kwani jamaa yuko vizuri sana.nicholas ralph the former banker akapewa uceo na ofisi yake iko austraria kwenye yeye cheo chake ni group grobal ceo.