Tuchambue Wimbo wa Mwana Fa na Maua Sama

Tuchambue Wimbo wa Mwana Fa na Maua Sama

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
Verse I;
Bonge la mtoto/bonge la zigo/
Naamini sioti coz naipenda hii ndoto/
Sitoi boko/na naamini hayuko soko/
Ntamvisha pete leo leo/
Sio wa mchezo ka kazi ya kwenye video/
Ananikaanga roho/ananisaga moyo/
Sipo sawa akili imevurugwa nayo/
Nilikuwa poa tu kabla hatujakutana/
Gangster kama mimi hakuna/
Hana wasiwasi anatembea kama hataki,anajivuuta/na kila hatua ina nukta/
Kiuno cha nyigu/rangi ya kinugu/
Nashangaa maujuzi ya Mungu/
Hakuna kovu hakuna sugu/
Maswali bila ya majibu/

HOOK:
So unafanya nionekane chizi/
Hata sielewi nini la kufanya/
Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi/
Hata sielewi naona nyota mamaa/
Where you coming from?/
Hata Sielewi/Sielewi/
Where you coming from?/
Hata Sielewi/Sielewi/
1, 'u-xx_large_top_margin': $height > 1}" style="box-sizing: border-box; display: block;">
Sielewi Sielewi Eeh,Eeh
Sielewi Sielewi Eeh,Eeeh


Verse II;
Sielewi lugha nyingine/
Macho yamegoma hayaoni kiumbe mwingine/
Huyu ntakopa ntaazima/ila lazima/
Ninyooshe mji mzima/
Acha moyo unibebe unipeleke unapotaka/
Ntarudi siku ukitaka/
Im all in,Im fallin’/
Maskio yataniziba akiniita darling/
Moyo unanienda mbio,naisoma namba/
Mwili mlaini utasema aliumbwa kwa pamba/
Hana chale hana shanga/
Mimacho imentoka ile kishamba/
Sina hakika ni chiicha au ganja za zamani/
Ila ana siifa za kuitwa mwandani/
Tuchangie shuka,tuchangie majina/
Nimshike mkono niende nae dunia nzima/

HOOK

MAUA;
Umetokea wapi kwani?/
Na umetumwa na nani?/
Umekuja na uganga wa wapi?/
Nilikuwa sawa kabla sijakutia machoni/

Sielewi Sielewi Eeh,Eeh
Sielewi Sielewi Eeiiih,Eeeh

HOOK

Hata Sielewi naona nyota mamaa
Hata Sielewi naona nyota mamaa

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom