Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,402
- 56,206
Yesu alioa na miaka ngapi vile?
HahaaaaaHakuoa kbsaaa....nimrkuelewa hahahaaaaa
ha ha ha ha mambo ya hadithi za kusadikika katika ulimwengu halisi hazina nafasi mkuuYesu alioa na miaka ngapi vile?
Ni kweli nduguha ha ha ha mambo ya hadithi za kusadikika katika ulimwengu halisi hazina nafasi mkuu
Nimeshatekeleza mkuuVip ww umeoa au umeolewa ?
Mtoto atamuacha mamaye na atamfuata mwenzi wake/nendeni duniani mkazae na muongezekeKwani kuolewa/kuoa lazima?
Mtoto atamuacha mamaye na atamfuata mwenzi wake/nendeni duniani mkazae na muongezeke
Mkuu tusimsingizie Mungu kila kosa,hata machizi pia wanaitaji wapenziUnaweza kuacha mama ukaenda kwa mwenzi ila ukashindwa kuijaza dunia
Na unaweza kushindwa kupata mwenza ila ukajaza dunia
Kimsingi hayo maandiko yapo ila kibinadamu na kiimani yote yanakamilika kwa mipango ya Mungu
Kuwahi ama kuchelewa kuoa/kuolewa ni mipango ya Mungu 😁
Yaani ukose mwenza alafu uijaze dunia, hii Kali ya mwaka, bila Shaka ukiwa na sifa hiyo utakua mama yake YesuUnaweza kuacha mama ukaenda kwa mwenzi ila ukashindwa kuijaza dunia
Na unaweza kushindwa kupata mwenza ila ukajaza dunia
Kimsingi hayo maandiko yapo ila kibinadamu na kiimani yote yanakamilika kwa mipango ya Mungu
Kuwahi ama kuchelewa kuoa/kuolewa ni mipango ya Mungu
Lakini kutokuolewa/kuoa sio kosaMkuu tusimsingizie Mungu kila kosa,hata machizi pia wanaitaji wapenzi
ha ha ha haYaani ukose mwenza alafu uijaze dunia, hii Kali ya mwaka, bila Shaka ukiwa na sifa hiyo utakua mama yake Yesu
Hakuna mwenye watoto hajaolewa?Yaani ukose mwenza alafu uijaze dunia, hii Kali ya mwaka, bila Shaka ukiwa na sifa hiyo utakua mama yake Yesu
Ndio maana siku hizi hata wanawake wanaoaLakini kutokuolewa/kuoa sio kosa
Sasa kama mtu hajapata mtu sahihi aoe/aolewe tu ili mradi atimize maandiko?
Mmmmh! Kila kitu na wakat wake!Mwanamke miaka 35 hujaolewa,unatatizo gani?
Mwanaume miaka 45 hujaoa nawe unatatizo gani?
Chukueni hatua wakuu,msijekuwa 'reject'
Ndio maana siku hizi hata wanawake wanaoa