Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,804
- 71,231
Haya manunda ya Afrika kusini yamegeuka kuwa majitu mabaya kuliko hata Makaburu tuliyo yatenga miaka ile kabla ya 1994.
Sasa kwa vile Tanzania ndio mwenyekiti wa sasa wa SADC tuanzishe kampeni ya kuwatenga na kuwafukuza Afrika ya kusini kwa sababu sio Rais wao au waziri wao wa ulinzi walio onyesha uwajibikaji katika kadhia hii zaidi ya kuwaona askari wao wakichekelea wanapoona MTU anakufa kwa kuchomwa moto.
Yuwashawishi na COSATA nao wawatenge basi ili wabaki na nchi yao wapendavyo.
#FUKUZA*RSA*SADC
Sasa kwa vile Tanzania ndio mwenyekiti wa sasa wa SADC tuanzishe kampeni ya kuwatenga na kuwafukuza Afrika ya kusini kwa sababu sio Rais wao au waziri wao wa ulinzi walio onyesha uwajibikaji katika kadhia hii zaidi ya kuwaona askari wao wakichekelea wanapoona MTU anakufa kwa kuchomwa moto.
Yuwashawishi na COSATA nao wawatenge basi ili wabaki na nchi yao wapendavyo.
#FUKUZA*RSA*SADC