mkokotoaji
Member
- Nov 26, 2013
- 54
- 10
Kiukweli kama kijana wa nchi hii nimesikitishwa na mchakato huu wa katiba iliyopendekezwa.binafsi nimeamua kuandika machache kwa kalamu na wino.naandika haya nikililia nchi yangu yenye maziwa na asali lakini wachache wanajinufaisha eti kisa wingi wao bungeni.tuamke tuzinduke tuwaelimishe ukweliv kuhusu haki na usawa ukomo wa wabunge ,tunu za taifa ,haki ya kuwawajibisha wabunge ,mbunge kuwa waziri ,elimu ya mbunge.mwisho tuwandae kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na kuwahimiza wajitokeze kwa wingi katika kujiandikisha katika daftari la kupigia kura