Tuache Unafiki na Mihemko; Hongera Rais

Tuache Unafiki na Mihemko; Hongera Rais

Kizibao

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2010
Posts
1,264
Reaction score
698
Unajua mimi nawashangaa sana watu walivyokuwa na memories za samaki na unafiki ulivyowajaa.

Tangu kwisha kwa uchaguzi Zanzibar hivi nani aliyekuwa anatowa matamko ya kuchochea ubaguzi na utengano katika Jamii.

Siyo Seif aliyesema watu wasishirikiane na mwanachama yeyote wa CCM, siye Seif aliyesema watu wasitoe huduma za kijamii kwa wanachama wa CCM, siyo Seif aliyesema watu wagomewe maziko, harisi na matanga? Siyo seif aliyesema watu wasilipe kodi.

Na baada ya matamko yake ndiyo zikaaza hujuma Pemba nyumba za wana CCM kuchomwa moto, misiba ya wana CCM kugomea hata misikini pia, harusi watu hawashiri, watu kushushwa kwenye magari na mashamba ya wana CCM kuchomwa moto.

Sasa nauliza matukio yote yale mlikuwa wapi? Nimekumbuka mlikuwapo bali mliendelea kumsifia Seif sharif Hamad na Hata ilipotokea kumto kumpa mkono Shein mkwamwagia sifa kem kem.

Sasa najiuliza. Je, vitendo alivyovifanya Mungu Seif vilikuwa havichochei utengano katika Jamii?

Sasa kwa hivyo tuwache unafiki kwani imekuwa kama kile kisa cha mtoto mdogo anampiga mwenzake kisiri lakini aliyepingwa akiinua mkono tu kutaka kujihami yule mtoto mgonvi anaanza kupiga zogo mamaa ananipiga.

Aliyoyasema makufuli pengine si maneno ya busara kwa macho ya wale waliokaakimywa wakati maalim anapaukwa majukwaani na kutokana na kitendo hicho tu nampongeza Rais kwa kuyasema yale kwani yalikuwa lazima yazungumzwe kwani enough is enough.

Sasa kama wameyasikia basi watatafakari kama hawajayasikia na wakiendelea na vitendo vyao vya kipumbavu basi litakalotokea wasije wakamlaumu mtu kwani muda wa kubembelezana umeshapita zamani.

Zanzibar itaendelea kuwa na Amani ijapokuwa na fear mongering zenu ili ku justify kuendelea na mihemko yenu ya kisiasa.

Najua hivi sasa yatafuata matamko mengi sana. lakini zote hizo ni kengele za mlango.

Hongera Raisi kwa kumfunga paka kengele wenye akili wameyasikia na wasiyo na akili basi hao watu hawahitajiki katika taifa hili.

Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania
 
Ujumbe mzuri kama vile nakuona
Ulivyokuwa unauandaa.
Ujumbe una kaukali Kwa mbalii.
Kaukali kamenogesha.
 
Umeandika kishabiki sana.This is too big for you.
 
Kumbuka seif sio raisi wa Tanzania hivyo tunategemea neno la hekima zaidi kutoka kwa Magufuli na sio maalim sio kauli zile
 
Angelo007 ht rais wa Tanzania nae no binadamu co malaika, anaongea kwa hisia zake!!!
 
Kishabiki vp? hebu niambie niliyoyaandika hapo lipi halikutokea na yepi hayakufanywa?
Acha unafki kwa jinsi ulivyoandika unaonekana upo upande gani wa shilingi.
 
Mwenyekiti wa Muda CUF kwanza angekuwa muungwana kukemea kitendo cha Maalim kukataa mkono wa Dr. Shien. Maalim hakuwa muungwana kufanya hivyo tena msibani.
Kwa kushindwa kumkemea Maalim, Mtatiro anakosa moral authority ya kumahutumu Dr. Magufuli.
 
Kumbuka seif sio raisi wa Tanzania hivyo tunategemea neno la hekima zaidi kutoka kwa Magufuli na sio maalim sio kauli zile
Sawa sawa yeye ni raisi wa Tanzania kwa hivyo ana moral authority ya kuhakikisha wananchi wake hawachomei nyumba zao, mashamba yao au biashara zao kufilisika kwa sababu ya matamko ya kisiasa..Ana jukumu la kuhakikisha hayo hayatokei.
Itakuwa ni uamuzi wa busara sana kama siku moja funga safasi nenda memba ukaongee na wale watu wanalala walikuwa wana matumaini na future lakini wanaaamka wanajikuta wameshapoteza kila kitu kwa mali zao kuharibikiwa.. halafu mwambie raisi hakutakiwa kuyasema yale!
 
Acha unafki kwa jinsi ulivyoandika unaonekana upo upande gani wa shilingi.

kabisa ameonekana yuko upande ule

ila mnafiki ni wewe ambae ulikaa kimya pindi sefu anahimiza utengano..na sasa hivi mnakemea huyu

kuna wakati mnabakiza akili za kuvukia barabara tu, tena kwenye mistari ya zebra
 
Unajua mimi nawashangaa sana watu walivyokuwa na memories za samaki na unafiki ulivyowajaa.Tangu kwisha kwa uchaguzi Zanzibar hivi nani aliyekuwa anatowa matamko ya kuchochea ubaguzi na utengano katika Jamii.. Siyo Seif aliyesema watu wasishirikiane na mwanachama yeyote wa CCM, siye Seif aliyesema watu wasitoe huduma za kijamii kwa wanachama wa CCM, siyo Seif aliyesema watu wagomewe maziko, harisi na matanga? Siyo seif aliyesema watu wasilipe kodi. Na baada ya matamko yake ndiyo zikaaza hujuma Pemba nyumba za wana CCM kuchomwa moto, misiba ya wana CCM kugomea hata misikini pia, harusi watu hawashiri, watu kushushwa kwenye magari na mashamba ya wana CCM kuchomwa moto.
Sasa nauliza matukio yote yale mlikuwa wapi? Nimekumbuka mlikuwapo bali mliendelea kumsifia Seif sharif Hamad na Hata ilipotokea kumto kumpa mkono Shein mkwamwagia sifa kem kem..Sasa najuiuliza je vitendo alivyovifanya Mungu Seif vilikuwa havichochei utengano katika Jamii?

Sasa kwa hivyo tuwache unafiki kwani imekuwa kama kile kisa cha mtoto mdogo anampiga mwenzake kisiri lakini aliyepingwa akiinua mkono tu kutaka kujihami yule mtoto mgonvi anaanza kupiga zogo mamaa ananipiga.

Aliyoyasema makufuli pengine si maneno ya busara kwa macho ya wale waliokaakimywa wakati maalim anapaukwa majukwaani na kutokana na kitendo hicho tu nampongeza Raisi kwa kuyasema yale kwani yalikuwa lazima yazungumzwe kwani enough is enough.. Sasa kama wameyasikia basi watatafakari kama hawajayasikia na wakiendelea na vitendo vyao vya kipumbavu basi litakalotokea wasije wakamlaumu mtu kwani muda wa kubembelezana umeshapita zamani.

Zanzibar itaendelea kuwa na Amani ijapokuwa na fear mongering zenu ili ku justify kuendelea na mihemko yenu ya kisiasa.
Najua hivi sasa yatafuata matamko mengi sana. lakini zote hizo ni kengele za mlango.

Hongera Raisi kwa kumfunga paka kengele wenye akili wameyasikia na wasiyo na akili basi hao watu hawahitajiki katika taifa hili.
Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania
Hoja dhaifu kabisa kama haki ingetendeka Seif angelalamika
 
Unajua mimi nawashangaa sana watu walivyokuwa na memories za samaki na unafiki ulivyowajaa.Tangu kwisha kwa uchaguzi Zanzibar hivi nani aliyekuwa anatowa matamko ya kuchochea ubaguzi na utengano katika Jamii.. Siyo Seif aliyesema watu wasishirikiane na mwanachama yeyote wa CCM, siye Seif aliyesema watu wasitoe huduma za kijamii kwa wanachama wa CCM, siyo Seif aliyesema watu wagomewe maziko, harisi na matanga? Siyo seif aliyesema watu wasilipe kodi. Na baada ya matamko yake ndiyo zikaaza hujuma Pemba nyumba za wana CCM kuchomwa moto, misiba ya wana CCM kugomea hata misikini pia, harusi watu hawashiri, watu kushushwa kwenye magari na mashamba ya wana CCM kuchomwa moto.
Sasa nauliza matukio yote yale mlikuwa wapi? Nimekumbuka mlikuwapo bali mliendelea kumsifia Seif sharif Hamad na Hata ilipotokea kumto kumpa mkono Shein mkwamwagia sifa kem kem..Sasa najuiuliza je vitendo alivyovifanya Mungu Seif vilikuwa havichochei utengano katika Jamii?

Sasa kwa hivyo tuwache unafiki kwani imekuwa kama kile kisa cha mtoto mdogo anampiga mwenzake kisiri lakini aliyepingwa akiinua mkono tu kutaka kujihami yule mtoto mgonvi anaanza kupiga zogo mamaa ananipiga.

Aliyoyasema makufuli pengine si maneno ya busara kwa macho ya wale waliokaakimywa wakati maalim anapaukwa majukwaani na kutokana na kitendo hicho tu nampongeza Raisi kwa kuyasema yale kwani yalikuwa lazima yazungumzwe kwani enough is enough.. Sasa kama wameyasikia basi watatafakari kama hawajayasikia na wakiendelea na vitendo vyao vya kipumbavu basi litakalotokea wasije wakamlaumu mtu kwani muda wa kubembelezana umeshapita zamani.

Zanzibar itaendelea kuwa na Amani ijapokuwa na fear mongering zenu ili ku justify kuendelea na mihemko yenu ya kisiasa.
Najua hivi sasa yatafuata matamko mengi sana. lakini zote hizo ni kengele za mlango.

Hongera Raisi kwa kumfunga paka kengele wenye akili wameyasikia na wasiyo na akili basi hao watu hawahitajiki katika taifa hili.
Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania
AMEN
 
Back
Top Bottom