Tuache tabia za kutafuta wake za watu

Kinachouma ni pale unapoingia... bwege mwingine anataka kuingia hapo hapo.
 
Daah wanaume sisi bwana wacha tu wake zetu waendelee kugegedwa nje, kwa hiyo wewe unaona kaokoka??
Kwanza kitendo cha kuona jinsi majadiliano yalivyoendelea na huyo bwana mana yake huyo jamaa hakufika bei( hakuwa na vigezo) kwa nini mkeo aendelee kujadili hata kama ni ktk kukataa hakupaswa kuonekana ktk mazingira ya ku bargain.
Sasa wewe unakuja hapa unajidai tena. Unajua wangapi anawakubalia?? Ni sawa na mke au demu wako anayekusimulia idadi ya wanaume wanaomtongoza na kudai kuwa huwa anawatolea nje, what do you expect?? Kwamba aliyemkubalia atakwambia?? Thubutu!
 
Sasa huyo jamaa yako wa karibu umeongea nae? kuhusu hii ishu na wife vipi umeongea nae pia? Kabla hujaja hapa kutaka watu wabadilike anza na hao walioleta kasoro kwako.
 
Kinachouma ni pale unapoingia... bwege mwingine anataka kuingia hapo hapo.
Halafu mbaya zaidi huko mtaani ni wa kumwaga tuu wako kibao, wengine mpaka wanaleta matangazo hapa JF... Bado anamendea wa kwako aisee..
 
Stuka mkuu mkeo mjanja huyo. Anakuonyesha majadiliano ya ja jamaa aliyemkataa. Swali: je, amewahi kukuonyesha majadiliano ya jamaa aliyemkubali? Huyo mkeo anakuzingua mkuu.
 
...huwa nashangaa watu wanatafta nini kwa wake za watu!...wakati K za bure zisizo na masharti zimetamalaki nchi mzima!....kwanza risk ya kukokota mke wa mtu mbaya sana...maana ukishikwa una haki ya kutolewa hata uume...sasa ya nini risk yote hii?...wakati mitoto ya ukwe imejaa kila kina?..

..BTW..mimi nikigundua mke wangu ana chat na rafiki yangu hiyo ndio itakuwa safari yake....nitamtimua fasta...maana amempa nafasi rafiki yangu kumtongoza...hili ni kosa kubwa...maana atatongozwa na wangapi?... Na anawakubali wangapi??...mke wa kaiser hatakiwi kuhisiwa bana....maana siku ameanza kutongozwa alitakiwa anipe taarifa...na si vinginevyo....huyu mleta mada hana mke...
 
Ila kiukweli ni mbaya sana kutembea na mke wa mtu jamaa atumie uungwana kumuacha free mke wa jamaa vilevile kitakwimu inaonesha wanawake nni wengi zaidi so haina maana kukomaa na mkee wa jamaa tena ni best yako dat iz so very foolish.
 
kiujumla dhambi ni mbaya sana.Huwaga matokeo yake siyo mazuri
 
Ni mkeo tu ndiye mwenye uwezo wa kustopisha hiyo mitongozo.

Na Kama kweli angekuwa hataki basi asinge entertain kabisa stori za huyo jamaa.

Kama kweli angekuwa hataki basi angekuwa anafuta hizo barua pepe zote bila hata kuzijibu .

Ni hivyo tu.
 
Je wataka kuckia ambayo hutaki kuckia?
1. wife wako keshakuoma. hivyo kurusu wewe kusoma e mail zake ili ujue kuwa jamaa anataongoza naye hataki Ujue anakula mzigo!!! una ushahidi kuwa amekataa?

Angekuwa mwaminifu angekushirikisha ili mpange namna ya kumkomesha
I.e anamualika home kuwa haupo- Then unatokea na direct wife anamwaga vitu hadharani mkiwa watatu.

ishi na wanawake kwa akili!! kalagahabaho.

kama kweli kakataa mwambie hiyo plan - uone atakavyong'aka - ujue zigo lilishamegwa!!
 

Ni maoni yako, thanka
 
Stuka mkuu mkeo mjanja huyo. Anakuonyesha majadiliano ya ja jamaa aliyemkataa. Swali: je, amewahi kukuonyesha majadiliano ya jamaa aliyemkubali? Huyo mkeo anakuzingua mkuu.

Hajanionyesha, ilitokea tu bahati mbaya nikaona
 

Una akili sana wewe..mtoa Uzi hajui janja za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…