Nafasi ya mwanamke iko palepale tu,kamwe hawezi kuwa sawa na mwanaume hata ufanyaje,wazee walikuwa sahihi ila kwa kuwa siku hizi mnaleta uma-gharibi ndo maana mambo yanaonekana tofauti,wazee walikuwa makini sana na busara nyingi kuliko watu wa sasa.Unyanyapaa wa wanawake ulianza tangu zamaniiiiiiiii na hata utake kuuondoa huwezi coz ndo imeumbwa iwe hivyo.
Halafu mwanamke ukimpa nafasi ana manyanyaso sana,hivi si ushasikia kuwa hata wao wanashauri USIOE MWANAMKE ALIYEKUZIDI KIPATO AU ELIMU??? Hujiulizi kwanini??? then pata picha wanawake wote wawe na elimu na pesa dunia itakuwaje?
Wacha ile kwao hivihivi.