Tuache Conspiracies na Speculations: Viongozi wengi ni Wagonjwa!

Tuache Conspiracies na Speculations: Viongozi wengi ni Wagonjwa!

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
4,770
Reaction score
10,665
Ni kweli Ugonjwa ni Siri ya mtu, lakini ukishakuwa public Figure kwa baadhi ya Sheria za nchi , diagnosis yako itawekwa hadharani. Hii yote ni kuondoa Conspiracy na Confusion kwenye jamii.

Kwa mfano Trump amekuwa diagnosed na Chronic Venous Insufficiency ( CVI) ugonjwa ambao sio hatari but progressive yake can lead to sudden death.

My Friend Joe , amekuwa diagnosed na stage 4 prostate cancer - yote yapo kwa public. Leo biden au Trump wakidondoka sidhan kama kutakuwa na conspiracy au speculation

Hapo TZ bado sheria na viongozi wapo kwenye Ujima. Kuna viongozi wengi sna wanatembea but they are sick na wana chronic disease but wanafanya siri na matokeo yake vifo vyao vinaletaga sana speculation ambazo sidhan hata kama zinaumuhimu. Hili eneo linapaswa kufanyiwa kazi kwenye Rasimu ya Katiba, hawa jamaa wanakula Public fund sana….. magonjwa yao pia should be public concern hasa kwa Rais , Makamu, Spika na Waziri Mkuu

Kwa mfano, Rais Ali Hassan Mwinyi alikuwa na Pulmonary Carcinome ambayo ni aina ya kansa ya mapafu for very long time na public was not aware na hili mpaka alipokufa, but that guy alikuwa ni RAIS wa nchi! Nini Tafsiri yake ?

Mwalimu alianza na Acute Lymphoblastic Leukemie( ALL ) aina ya Kansa ya damu inayoanzia kwenye Bone Marrow and public was not aware till death, tukazushiwa kuwa ametangulizwa….

Rais Mkapa alikuwa na Coronary Artery Disease aina ya Ugonjwa wa Mishipa ya Korona ya Moyo ambayo ukiziba kabisa unakupelekea heart attack…… ndo ile mtu anazima ghafla kwa muda tu , tukazushiwa kuna mwamba muhuni mmoja ivo na genge lake ndio mtoa roho

JPM alikuwa na Atrial Fibriatiion with slow Ventricular response yaani mapigo ya moyo yasiyorandana sambamba na umeme wa moyo( Cardiac Elecrical Condition System) iliyomlazimu kuwa na pacemaker for very long time in his Life, public was not officially informed ……. AF iliyosababisha hadi kifo cha JPM……matapeli wakajizolea umaarufu na kujiona wa mjini…. But JPM was sick and had carried that kwa maisha yake yote, usiri ukaleta conspiracy na speculation inayodumu

Job, according na video zake alisema aliumwa sana baada tu yakuapishwa kuwa speaker …. alikuwa na Diabetic Neuropathy kwa muda tu inayopelekea kuwa na complication na kudevelop Cardiac Autonomic Neuropathy inayoenda kuathiri nerves zinazo control heart and blood vessels- it has High risk of sudden death
( Job alishakiri kuwa aliumwa sana )

Mtani wangu Cleopa Msuya. Mimi personally nimemuhudumia pale ORCI kwa kipindi kirefu na mpaka naondoka alikuwa bado anapata matibabu pale hadi kifo chake……. Msuya ametumia milions of public fund kama viongozi wengine na kodi za wananchi kwenye matibabu hadi anakufa, kuna anaejua mzee alikuwa anaumwa nini ? It should not be a secret for as long as matibabu yake yapo Under public fund ! Kama angekuwa anatoa hizo hela MFUKONI….we do not have right to ask and it becomes PERSONAL

JK had Benign Prostatic Hyperplasia but aliiwahi and atleast the info was public na tulienda kumuona pale JHH, USA. He is fine today na public was Officially informed kuwa the president had Benign Prostatic Hyperplasia

Leo hii the public is not aware Mpango ana tatizo gani la kiafya ?

Samia anatatizo gani la Kiafya ?

Majaliwa anatatizo gani la kiafya ?

Tulia anatatizo gani la kiafya !

Membe na Lowasa had a certain degenerative disease ambayo haikuwa public , however kwa lowasa ilikuwa ni Chronic mpaka akawa anapata zile Trembling

Kuna kipindi Mpango aliumwa akapotea kabisa kwa public… but alienda kwenye matibabu using public fund na mpaka leo hakuna anaejua Mzee anasumbuliwa na nini ; Yes it is personal but ni kiongozi mkuu wa umma na matibabu yake yanatumia kodi za wananchi, then why not public be concerned ?

Hivyo hivyo kuna kipindi Samia hakuonekana for a while, baadae Madam akajitokeza ila tukaambiwa
Alienda matibabu, the president spends a lot of public fund kwenye kila pumzi yake, so why public not be concerned kwenye Afya yake ?


Miongoni mwao yoyote akidondoka ghafla… tutapata speculation nyingi na confusion ………..Kama ilivyo kwa Job, JPM, Mkapa etc…but hawa watu wanakuaga wanaumwa na wanafanya siri……Katiba mpya italazimu kuangalia hili eneo…..! Nchi isiendeshwe kihuni na kisela sela

Tambueni hivo huenda mkapunguza speculation na conspiracy , msione watu wanakimbilia hayo madaraka….. they are sick na wanafanya hivo kupata health benefit za bure as well

Dr MNM
Canada
 
Tatizo viongoz wengi wa nchi zenye mfumo wa Ujamaa wanadhani wakiwa na madaraka hawafi wala hawaugui.
Pamoja na kwamba viongozi wa nchi za ujamaa kuwa na siri lkn nchi zenye mfumo wa kijamaa hasa Afrika viongozi wake wengi wanakua na magonjwa ya kuambukiza ndo maana hata yale yasiyoambukiza wanafanya siri.

Yale mambaazi wakimeza unasikia ameugua ghafla amekufa kumbe gonjwa lake la asili limeingilia na gonjwa artificial...kufa inakua ni kugusa tu.
 
Mkuu unaandika kwa lugha ya kitaalam sana kiasi mtu ambaye si tabibu au mtu wa afya anaweza asielewe ni maradhi gani umetaja mfano PC kwa mwingi ,pc ni nini watoto wachuo wanajua ni Personal 💻, ALL NI ugonjwa gani?, AF? , DN? Hizi zinapoteza ladha ya bandiko kwa sababu zimebeba content kubwa
 
Ni kweli Ugonjwa ni Siri ya mtu, lakini ukishakuwa public Figure kwa baadhi ya Sheria za nchi , diagnosis yako itawekwa hadharani. Hii yote ni kuondoa Conspiracy na Confusion kwenye jamii.

Kwa mfano Trump amekuwa diagnosed na CVI ugonjwa ambao sio hatari but progressive yake can lead to sudden death.

My Friend Joe , amekuwa diagnosed na stage 4 prostate cancer - yote yapo kwa public. Leo biden au Trump wakidondoka sidhan kama kutakuwa na conspiracy au speculation

Hapo Mavumbini bado sheria na viongozi wapo kwenye Ujima. Kuna viongozi wengi sna wanatembea but they are sick na wana chronic disease but wanafanya siri na matokeo yake vifo vyao vinaletaga sana speculation ambazo sidhan hata kama zinaumuhimu. Hili eneo linapaswa kufanyiwa kazi kwenye Rasimu ya Katiba, hawa jamaa wanakula Public fund sana….. magonjwa yao pia should be public concern hasa kwa Rais , Makamu, Spika na Waziri Mkuu

Kwa mfano, Rais Ali Hassan Mwinyi alikuwa na PC for very long time na public was not aware na hili mpaka alipokufa, but that guy alikuwa ni RAIS wa nchi! Nini Tafsiri yake ?

Mwalimu alikuwa na Acute Lymphoblastic ( ALL ) for long time and public was not aware till death, tukazushiwa kuwa ametangulizwa…. but mwalimu was sick kwa muda tu

Rais Mkapa alikuwa na CAD kwa muda tu , tukazushiwa kuna mwamba muhuni mmoja ivo na genge lake ndio mtoa roho

JPM alikuwa na AF with slow Ventricular response for very long time in his Life, public was not officially informed ……. AF iliyosababisha hadi kifo cha JPM……matapeli wakajizolea umaarufu na kujiona wa mjini…. But JPM was sick and had carried that kwa maisha yake yote, usiri ukaleta conspiracy na speculation inayodumu

Job alikuwa na DN kwa muda tu iliyopelekea hadi kuwa na complication kwenye Cardiovascular and that must have been the reason for his sudden death.

JK had BPH but aliiwahi and atleast the info was public na tulienda kumuona pale JHH, USA. He is fine today na public was Officially informed kuwa the president has Benign Prostatic Hyperplasia

Leo hii the public is not aware Mpango ana tatizo gani chronic la kiafya ?

Samia anatatizo gani Chronic la Kiafya ?

Majaliwa anatatizo gani chronic la kiafya ?
Tulia ( rafiki yangu Cheusi Mangala) anatatizo gani la kiafya !

Usiniambie hawana shida ya kiafya, we know better na Kwa ambao mmeshafanya kazi za kudeal na wagonjwa , ukimuangalia tu mtu usoni na ngozi yake unajua some how anatatizo la kiafya. And a part from that mtu ukishavuka 60 tu organ function zina decline, cell regeneration zina pungua , Chronic Inflamation zinamuandama, combination of biological aging and so forth!

Any one of those, akidondoka ghafla… tutapata speculation nyingi na confusion kama ilivyo kwa Job, but hawa watu ni wagonjwa. Katiba mpya italazimu kuangalia hili eneo…..

So Watizedi, tambueni hivo huenda mkapunguza speculation na conspiracy , msione watu wanakimbilia hayo madaraka….. they are sick na wanafanya hivo kupata health benefit za bure as well

Dr MNM
Canada

Hata wewe umefanya kile kile. Speculations na conspirace. Ushahidi wa hao viongozi wagonjwa
 
Tatizo viongoz wengi wa nchi zenye mfumo wa Ujamaa wanadhani wakiwa na madaraka hawafi wala hawaugui.
Pamoja na kwamba viongozi wa nchi za ujamaa kuwa na siri lkn nchi zenye mfumo wa kijamaa hasa Afrika viongozi wake wengi wanakua na magonjwa ya kuambukiza ndo maana hata yale yasiyoambukiza wanafanya siri.

Yale mambaazi wakimeza unasikia ameugua ghafla amekufa kumbe gonjwa lake la asili limeingilia na gonjwa artificial...kufa inakua ni kugusa tu.
Tanzania ni nchi ya kijamaa?!
 
Ni kweli Ugonjwa ni Siri ya mtu, lakini ukishakuwa public Figure kwa baadhi ya Sheria za nchi , diagnosis yako itawekwa hadharani. Hii yote ni kuondoa Conspiracy na Confusion kwenye jamii.

Kwa mfano Trump amekuwa diagnosed na CVI ugonjwa ambao sio hatari but progressive yake can lead to sudden death.

My Friend Joe , amekuwa diagnosed na stage 4 prostate cancer - yote yapo kwa public. Leo biden au Trump wakidondoka sidhan kama kutakuwa na conspiracy au speculation

Hapo Mavumbini bado sheria na viongozi wapo kwenye Ujima. Kuna viongozi wengi sna wanatembea but they are sick na wana chronic disease but wanafanya siri na matokeo yake vifo vyao vinaletaga sana speculation ambazo sidhan hata kama zinaumuhimu. Hili eneo linapaswa kufanyiwa kazi kwenye Rasimu ya Katiba, hawa jamaa wanakula Public fund sana….. magonjwa yao pia should be public concern hasa kwa Rais , Makamu, Spika na Waziri Mkuu

Kwa mfano, Rais Ali Hassan Mwinyi alikuwa na PC for very long time na public was not aware na hili mpaka alipokufa, but that guy alikuwa ni RAIS wa nchi! Nini Tafsiri yake ?

Mwalimu alikuwa na Acute Lymphoblastic ( ALL ) for long time and public was not aware till death, tukazushiwa kuwa ametangulizwa…. but mwalimu was sick kwa muda tu

Rais Mkapa alikuwa na CAD kwa muda tu , tukazushiwa kuna mwamba muhuni mmoja ivo na genge lake ndio mtoa roho

JPM alikuwa na AF with slow Ventricular response for very long time in his Life, public was not officially informed ……. AF iliyosababisha hadi kifo cha JPM……matapeli wakajizolea umaarufu na kujiona wa mjini…. But JPM was sick and had carried that kwa maisha yake yote, usiri ukaleta conspiracy na speculation inayodumu

Job alikuwa na DN kwa muda tu iliyopelekea hadi kuwa na complication kwenye Cardiovascular and that must have been the reason for his sudden death.

JK had BPH but aliiwahi and atleast the info was public na tulienda kumuona pale JHH, USA. He is fine today na public was Officially informed kuwa the president has Benign Prostatic Hyperplasia

Leo hii the public is not aware Mpango ana tatizo gani chronic la kiafya ?

Samia anatatizo gani Chronic la Kiafya ?

Majaliwa anatatizo gani chronic la kiafya ?
Tulia ( rafiki yangu Cheusi Mangala) anatatizo gani la kiafya !

Usiniambie hawana shida ya kiafya, we know better na Kwa ambao mmeshafanya kazi za kudeal na wagonjwa , ukimuangalia tu mtu usoni na ngozi yake unajua some how anatatizo la kiafya. And a part from that mtu ukishavuka 60 tu organ function zina decline, cell regeneration zina pungua , Chronic Inflamation zinamuandama, combination of biological aging and so forth!

Any one of those, akidondoka ghafla… tutapata speculation nyingi na confusion kama ilivyo kwa Job, but hawa watu ni wagonjwa. Katiba mpya italazimu kuangalia hili eneo…..

So Watizedi, tambueni hivo huenda mkapunguza speculation na conspiracy , msione watu wanakimbilia hayo madaraka….. they are sick na wanafanya hivo kupata health benefit za bure as well

Dr MNM
Canada
Ni kweli Ugonjwa ni Siri ya mtu, lakini ukishakuwa public Figure kwa baadhi ya Sheria za nchi , diagnosis yako itawekwa hadharani. Hii yote ni kuondoa Conspiracy na Confusion kwenye jamii.

Kwa mfano Trump amekuwa diagnosed na CVI ugonjwa ambao sio hatari but progressive yake can lead to sudden death.

My Friend Joe , amekuwa diagnosed na stage 4 prostate cancer - yote yapo kwa public. Leo biden au Trump wakidondoka sidhan kama kutakuwa na conspiracy au speculation

Hapo Mavumbini bado sheria na viongozi wapo kwenye Ujima. Kuna viongozi wengi sna wanatembea but they are sick na wana chronic disease but wanafanya siri na matokeo yake vifo vyao vinaletaga sana speculation ambazo sidhan hata kama zinaumuhimu. Hili eneo linapaswa kufanyiwa kazi kwenye Rasimu ya Katiba, hawa jamaa wanakula Public fund sana….. magonjwa yao pia should be public concern hasa kwa Rais , Makamu, Spika na Waziri Mkuu

Kwa mfano, Rais Ali Hassan Mwinyi alikuwa na PC for very long time na public was not aware na hili mpaka alipokufa, but that guy alikuwa ni RAIS wa nchi! Nini Tafsiri yake ?

Mwalimu alikuwa na Acute Lymphoblastic ( ALL ) for long time and public was not aware till death, tukazushiwa kuwa ametangulizwa…. but mwalimu was sick kwa muda tu

Rais Mkapa alikuwa na CAD kwa muda tu , tukazushiwa kuna mwamba muhuni mmoja ivo na genge lake ndio mtoa roho

JPM alikuwa na AF with slow Ventricular response for very long time in his Life, public was not officially informed ……. AF iliyosababisha hadi kifo cha JPM……matapeli wakajizolea umaarufu na kujiona wa mjini…. But JPM was sick and had carried that kwa maisha yake yote, usiri ukaleta conspiracy na speculation inayodumu

Job alikuwa na DN kwa muda tu iliyopelekea hadi kuwa na complication kwenye Cardiovascular and that must have been the reason for his sudden death.

JK had BPH but aliiwahi and atleast the info was public na tulienda kumuona pale JHH, USA. He is fine today na public was Officially informed kuwa the president has Benign Prostatic Hyperplasia

Leo hii the public is not aware Mpango ana tatizo gani chronic la kiafya ?

Samia anatatizo gani Chronic la Kiafya ?

Majaliwa anatatizo gani chronic la kiafya ?
Tulia ( rafiki yangu Cheusi Mangala) anatatizo gani la kiafya !

Usiniambie hawana shida ya kiafya, we know better na Kwa ambao mmeshafanya kazi za kudeal na wagonjwa , ukimuangalia tu mtu usoni na ngozi yake unajua some how anatatizo la kiafya. And a part from that mtu ukishavuka 60 tu organ function zina decline, cell regeneration zina pungua , Chronic Inflamation zinamuandama, combination of biological aging and so forth!

Any one of those, akidondoka ghafla… tutapata speculation nyingi na confusion kama ilivyo kwa Job, but hawa watu ni wagonjwa. Katiba mpya italazimu kuangalia hili eneo…..

So Watizedi, tambueni hivo huenda mkapunguza speculation na conspiracy , msione watu wanakimbilia hayo madaraka….. they are sick na wanafanya hivo kupata health benefit za bure as well

Dr MNM
Canada
You have articulate well this thread !!Officially ,I can confirm that this is the best thread in this week !!
 
Ni kweli Ugonjwa ni Siri ya mtu, lakini ukishakuwa public Figure kwa baadhi ya Sheria za nchi , diagnosis yako itawekwa hadharani. Hii yote ni kuondoa Conspiracy na Confusion kwenye jamii.

Kwa mfano Trump amekuwa diagnosed na CVI ugonjwa ambao sio hatari but progressive yake can lead to sudden death.

My Friend Joe , amekuwa diagnosed na stage 4 prostate cancer - yote yapo kwa public. Leo biden au Trump wakidondoka sidhan kama kutakuwa na conspiracy au speculation

Hapo Mavumbini bado sheria na viongozi wapo kwenye Ujima. Kuna viongozi wengi sna wanatembea but they are sick na wana chronic disease but wanafanya siri na matokeo yake vifo vyao vinaletaga sana speculation ambazo sidhan hata kama zinaumuhimu. Hili eneo linapaswa kufanyiwa kazi kwenye Rasimu ya Katiba, hawa jamaa wanakula Public fund sana….. magonjwa yao pia should be public concern hasa kwa Rais , Makamu, Spika na Waziri Mkuu

Kwa mfano, Rais Ali Hassan Mwinyi alikuwa na PC for very long time na public was not aware na hili mpaka alipokufa, but that guy alikuwa ni RAIS wa nchi! Nini Tafsiri yake ?

Mwalimu alikuwa na Acute Lymphoblastic ( ALL ) for long time and public was not aware till death, tukazushiwa kuwa ametangulizwa…. but mwalimu was sick kwa muda tu

Rais Mkapa alikuwa na CAD kwa muda tu , tukazushiwa kuna mwamba muhuni mmoja ivo na genge lake ndio mtoa roho

JPM alikuwa na AF with slow Ventricular response for very long time in his Life, public was not officially informed ……. AF iliyosababisha hadi kifo cha JPM……matapeli wakajizolea umaarufu na kujiona wa mjini…. But JPM was sick and had carried that kwa maisha yake yote, usiri ukaleta conspiracy na speculation inayodumu

Job alikuwa na DN kwa muda tu iliyopelekea hadi kuwa na complication kwenye Cardiovascular and that must have been the reason for his sudden death.

JK had BPH but aliiwahi and atleast the info was public na tulienda kumuona pale JHH, USA. He is fine today na public was Officially informed kuwa the president has Benign Prostatic Hyperplasia

Leo hii the public is not aware Mpango ana tatizo gani chronic la kiafya ?

Samia anatatizo gani Chronic la Kiafya ?

Majaliwa anatatizo gani chronic la kiafya ?
Tulia ( rafiki yangu Cheusi Mangala) anatatizo gani la kiafya !

Usiniambie hawana shida ya kiafya, we know better na Kwa ambao mmeshafanya kazi za kudeal na wagonjwa , ukimuangalia tu mtu usoni na ngozi yake unajua some how anatatizo la kiafya. And a part from that mtu ukishavuka 60 tu organ function zina decline, cell regeneration zina pungua , Chronic Inflamation zinamuandama, combination of biological aging and so forth!

Any one of those, akidondoka ghafla… tutapata speculation nyingi na confusion kama ilivyo kwa Job, but hawa watu ni wagonjwa. Katiba mpya italazimu kuangalia hili eneo…..

So Watizedi, tambueni hivo huenda mkapunguza speculation na conspiracy , msione watu wanakimbilia hayo madaraka….. they are sick na wanafanya hivo kupata health benefit za bure as well

Dr MNM
Canada
Excellent post aisee…. Hatq viongozi wengine tu wka ujumla tz ukiwapima unaweza kukuta 40% wana shida z afya

ILA la cheusi mangala… dah 😂😂😂😂😆😆😆
 
Ni kweli Ugonjwa ni Siri ya mtu, lakini ukishakuwa public Figure kwa baadhi ya Sheria za nchi , diagnosis yako itawekwa hadharani. Hii yote ni kuondoa Conspiracy na Confusion kwenye jamii.

Kwa mfano Trump amekuwa diagnosed na CVI ugonjwa ambao sio hatari but progressive yake can lead to sudden death.

My Friend Joe , amekuwa diagnosed na stage 4 prostate cancer - yote yapo kwa public. Leo biden au Trump wakidondoka sidhan kama kutakuwa na conspiracy au speculation

Hapo Mavumbini bado sheria na viongozi wapo kwenye Ujima. Kuna viongozi wengi sna wanatembea but they are sick na wana chronic disease but wanafanya siri na matokeo yake vifo vyao vinaletaga sana speculation ambazo sidhan hata kama zinaumuhimu. Hili eneo linapaswa kufanyiwa kazi kwenye Rasimu ya Katiba, hawa jamaa wanakula Public fund sana….. magonjwa yao pia should be public concern hasa kwa Rais , Makamu, Spika na Waziri Mkuu

Kwa mfano, Rais Ali Hassan Mwinyi alikuwa na PC for very long time na public was not aware na hili mpaka alipokufa, but that guy alikuwa ni RAIS wa nchi! Nini Tafsiri yake ?

Mwalimu alikuwa na Acute Lymphoblastic ( ALL ) for long time and public was not aware till death, tukazushiwa kuwa ametangulizwa…. but mwalimu was sick kwa muda tu

Rais Mkapa alikuwa na CAD kwa muda tu , tukazushiwa kuna mwamba muhuni mmoja ivo na genge lake ndio mtoa roho

JPM alikuwa na AF with slow Ventricular response for very long time in his Life, public was not officially informed ……. AF iliyosababisha hadi kifo cha JPM……matapeli wakajizolea umaarufu na kujiona wa mjini…. But JPM was sick and had carried that kwa maisha yake yote, usiri ukaleta conspiracy na speculation inayodumu

Job alikuwa na DN kwa muda tu iliyopelekea hadi kuwa na complication kwenye Cardiovascular and that must have been the reason for his sudden death.

JK had BPH but aliiwahi and atleast the info was public na tulienda kumuona pale JHH, USA. He is fine today na public was Officially informed kuwa the president has Benign Prostatic Hyperplasia

Leo hii the public is not aware Mpango ana tatizo gani chronic la kiafya ?

Samia anatatizo gani Chronic la Kiafya ?

Majaliwa anatatizo gani chronic la kiafya ?
Tulia ( rafiki yangu Cheusi Mangala) anatatizo gani la kiafya !

Usiniambie hawana shida ya kiafya, we know better na Kwa ambao mmeshafanya kazi za kudeal na wagonjwa , ukimuangalia tu mtu usoni na ngozi yake unajua some how anatatizo la kiafya. And a part from that mtu ukishavuka 60 tu organ function zina decline, cell regeneration zina pungua , Chronic Inflamation zinamuandama, combination of biological aging and so forth!

Any one of those, akidondoka ghafla… tutapata speculation nyingi na confusion kama ilivyo kwa Job, but hawa watu ni wagonjwa. Katiba mpya italazimu kuangalia hili eneo…..

So Watizedi, tambueni hivo huenda mkapunguza speculation na conspiracy , msione watu wanakimbilia hayo madaraka….. they are sick na wanafanya hivo kupata health benefit za bure as well

Dr MNM
Canada
Duh! Canada imekufanya nchi yako ulimozaliwa uiite "mavumbini" Dunia hii watu wamesoma na wamekuwa maarufu hawajawahi kuzitukana nchi zao bali kuzitumikia. We hiyo elimu ya kukariri haijakusaidia umekuwa mpumbavu zaidi ya ngedere km wacanada wanavyokuita. Ht huo utambulisho hapo chini na ili tujue uko Canada ni egoism isiyo na haja wala faida, kwani unatujua sisi wenzio tuko wapi sahv na tuna elimu zipi. We ni zaidi ya takataka.
 
Mkuu unaandika kwa lugha ya kitaalam sana kiasi mtu ambaye si tabibu au mtu wa afya anaweza asipelekwe ni maradhi gani umetaja mfano PC kwa mwingi ,pc ni nini watoto wachuo wanajua ni Personal 💻, ALL NI ugonjwa gani?, AF? , DN? Hizi zinapoteza ladha ya bandiko kwa sababu zimebeba content kubwa
Huyo mbwa ni mpumbavu kuliko unavyofikiri, mtu anaita nchi yake "mavumbini"?
 
Back
Top Bottom