Kwa nilivyo wauliza walisema haiwezi so me nikaona ni waste of money kununua kitu ambacho sitakitumia coz at the moment sina device inayo support 4G, price ni 3k
Kwa nilivyo wauliza walisema haiwezi so me nikaona ni waste of money kununua kitu ambacho sitakitumia coz at the moment sina device inayo support 4G, price ni 3k
Kwa ss hawana mkuu, ila kwa ujio wao huu mpya kuna sehemu nimesoma wanasema watakua na hiyo huduma very soon, ila itabidi waongeze coverage kwanza maana bila kuwa na coverage kubwa watakosa wateja.