...muda mrefu tu wameanza kuuza hizo SIM Cards pekee, tatizo ni kuwa unapoinunua haiwezi kufanya kazi kwenye simu yako ya GSM. Ni lazima uwe na simu yenye mfumo wa CDMA ambazo wanaziuza wao na ma-Agent wa kampuni ya HUAWEI kwa hapa nchini. Kwa hiyo usije ukanunua SIM Card ya TTCL kwa matumaini ya kuiweka kwenye simu yako unayotumia sasa na Card ya GSM inayotumiwa na Zain, Voda na Tigo. Ita-block.