smak786110
Member
- Jan 24, 2008
- 90
- 4
Is it true that TTCL are now selling SIM CARDS only also ?
Nilitaka sana, kama wanatowa...
SMS tariff ni zuri ya TTCL!
Nilitaka sana, kama wanatowa...
SMS tariff ni zuri ya TTCL!
Is it true that TTCL are now selling SIM CARDS only also ?
Nili taka sana, kama wanatowa...
SMS tariff ni zuri ya TTCL !
...muda mrefu tu wameanza kuuza hizo SIM Cards pekee, tatizo ni kuwa unapoinunua haiwezi kufanya kazi kwenye simu yako ya GSM. Ni lazima uwe na simu yenye mfumo wa CDMA ambazo wanaziuza wao na ma-Agent wa kampuni ya HUAWEI kwa hapa nchini. Kwa hiyo usije ukanunua SIM Card ya TTCL kwa matumaini ya kuiweka kwenye simu yako unayotumia sasa na Card ya GSM inayotumiwa na Zain, Voda na Tigo. Ita-block.
Sasa napenda kuuliza kama TTCL wanatumia card za CDMA ni kwa nini au ni kipi cha zaidi nitakachokipata kwa kununua card hizo? Nauliza hivyo ili kutaka kujua operator yupi Tanzania anaweza kunipa huduma zipi na kwa unafuu gani. Natanguliza shukrani.
Sasa napenda kuuliza kama TTCL wanatumia card za CDMA ni kwa nini au ni kipi cha zaidi nitakachokipata kwa kununua card hizo? Nauliza hivyo ili kutaka kujua operator yupi Tanzania anaweza kunipa huduma zipi na kwa unafuu gani. Natanguliza shukrani.
Na FaibaIs it true that TTCL are now selling SIM CARDS only also ?
Nilitaka sana, kama wanatowa...
SMS tariff ni zuri ya TTCL!