TTCL Customer Care kwanini hampokei simu za wateja?

TTCL Customer Care kwanini hampokei simu za wateja?

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,992
Reaction score
12,036
Yaani napiga simu napoteza muda simu zote mlizoweka kwenye Website yenu eti za Customer care hampokei. SASA najiuliza mmeziweka hapo za nini.
 
MODS rekebisheni headline ni POSTA hao sio TTCL
 
Mimi kuna siku nilipiga wakapokea nakawaeleza tatizo la router ya internet ambayo nilikuwa nalipa na huduma sipati wakaniambia watanipigia. Nikasubiri hawakunipigia nikapiga kama mara saba hawakupokea. Nikaacha na sasa hivi nimeendela kutumia makampuni mengine kwenye mtandao. Kwakweli wanauudhi. Halafu wanasema eti nyumbani kumenoga.
 
Mimi kuna siku nilipiga wakapokea nakawaeleza tatizo la router ya internet ambayo nilikuwa nalipa na huduma sipati wakaniambia watanipigia. Nikasubiri hawakunipigia nikapiga kama mara saba hawakupokea. Nikaacha na sasa hivi nimeendela kutumia makampuni mengine kwenye mtandao. Kwakweli wanauudhi. Halafu wanasema eti nyumbani kumenoga.
Huwa wanapiga simu pengine walisahau tu, wasamehe bure.
 
Back
Top Bottom