Jackson jonh
Member
- Aug 11, 2011
- 46
- 7
Tunahitaji oda za tshirt printing kuanzia tshirt 50,mtambo ni wa kisasa na unatoa quality ya maana,mi nipo dar,kwa anaehitaji tunaweza kuwasiliana kwa namba 0652993219.
Tunahitaji oda za tshirt printing kuanzia tshirt 50,mtambo ni wa kisasa na unatoa quality ya maana,mi nipo dar,kwa anaehitaji tunaweza kuwasiliana kwa namba 0652993219.
Tunahitaji oda za tshirt printing kuanzia tshirt 50,mtambo ni wa kisasa na unatoa quality ya maana,mi nipo dar,kwa anaehitaji tunaweza kuwasiliana kwa namba 0652993219.
Tunahitaji oda za tshirt printing kuanzia tshirt 50,mtambo ni wa kisasa na unatoa quality ya maana,mi nipo dar,kwa anaehitaji tunaweza kuwasiliana kwa namba 0652993219.
Tshirt ikiwa ni kwa upande wetu bei ni 8500 jumla na kuprint,hakuna logo isioshindikana mkuu
Kaka si vizuri ku display e mail yako au namba ya simu. Omba watu waku pm. Enjoy JF
yap nilikosea mkuu ni kwamba hakuna logo inayoshindikanaMi sijakuelewa mkuu, hakuna logo isiyoshindikana au hakuna logo inayoshindikana? Una maana zote mnaziweza au?
Kaka mimi niko Mtakanini, wilaya ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma, Unaweza kuniletea sample kadhaa ya kazi zenu? Nadhani wewew unafanya graphic designing, staki kuamini kuwa kwenye computer hiyo unayotumia sasa kupost JF hauna hata mifano kadhaa ya ubunifu wenu!!!...Mmi naweza kuwa mteja wako; tafadhali nifahamishe bei za kuprint t-shirts, kama unaona haifai kuweka hapa tafadhali ni-pm, au tuma kwa amoebazone@gmail.com.
Ahsante!
Mnatumia machine gani, na nani supplier wenu wa tshirts na rangi?
so kumbe hamfanyi embroidery??? nitumie sample ya kazi yenu kwenye imzzotz@yahoo.com tshirt designing ndo kazi yangu tukielewana ww utakua printer wangu. pia nifahamishe kama embroidery mnafanya.
hyo idad ya 50 tshts ni bei gani?? Mfano nataka ziwe na jina langu tu DEEJAY NASMILE
samahani mkuu unatumia t shirt aina gani manga au?
ni utakayotaka wewe tu mkuu.