nawewe acha kulia lia bwana,serikali yenyewe haikupeleki pesa za ruzuku,unadhani fomu wataandalia nini? Mbona taasisi nyingi za serukali kama vyuo vikuu fomu zinalipiwa tena pesa kibao hamhoji? Hizo ni za maandalizi ya fomu,acheni mamabo ya bure bure kila wakati nyie.halafu ulivyo mvivu wa kufikiri hata kuwauliza hapo hapo wakupe ufafanuzi hukutaka.lipia fomu hiyo.