ngosha2011
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 681
- 87
Iwe haijachoka sana,ram kubwa na uwezo wa kutunza chaji,ikiwa mwanza itakuwa vizuri zaidi,mwenye nayo nicheki kwa pm
Iwe haijachoka sana,ram
kubwa na uwezo wa kutunza chaji,ikiwa mwanza itakuwa vizuri zaidi,mwenye
nayo nicheki kwa pm
nakushauri kama unataka smart4ne kwa bei hzo nenda kanunue ya TTCL iko poa sana mi nimenunua natumia kwa internet 2 ina kila kitu ila inatumia CDMA huwezi weka laini nyingine lakini iko poa mambo ya WHATSAP na vitu vingine vingi utavikuta ikiwemo solar charger na program kibao za kuistal kutoka google play kwa sh 180000 tu....na c unajua cku hizi wamezindua basti ....mi najiunga na ile ya 100mb kwa sh 500 kwa siku ni nzuri sana m alinitonya mtu nikachukua hata kupiga sio ishu kubwa
Iwe haijachoka sana,ram kubwa na uwezo wa kutunza chaji,ikiwa mwanza itakuwa vizuri zaidi,mwenye nayo nicheki kwa pm
Ongeza 150 nikupe galaxy captivate![]()
![]()
Sent from my SGH-I897 using Tapatalk 2