Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,373
- 6,084
Wadau nini kinachoendelea kati ya shirika la utangazaji CNN na Rais mteule wa Marekani Donald Trump, imefikia hatua Donald Trump katika mazungumzo yake na waandishi wa habari alikataa mwandishi wa habari wa cnn asimuulize swali. Je hii ni dalili kwa taifa kubwa la kidemokrasia linaelekea kuanza kuviminya vyombo vya habari ?