THE MOLE HUNTER
Member
- Mar 9, 2015
- 65
- 85
Rais Trump ameamua kuwasiliana moja kwa moja na wamarekani na dunia nzima kupitia mtandao wa Twitter na kwa kweli hii imewapa tabu sana vyombo vya habari ambavyo zamani vilizowea kutoa breaking news na kadhalika.
Huku kwetu kiongozi mstaafu pekee ambaye hujitahidi sana kutumia mitandao ya kileo kuwasiliana moja kwa moja na wananchi ni the one and only, Rais (semi-retired) Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, aka JK ambaye kwa kusudi kabisa ameamua kujikita kwenye Instagram na kuposti mapicha mbali mbali mengine bila maelezo.
Ombi langu kwake ni kuwa aache tabia ya ku troll kwenye instagram na apost vitu vyenye kuleta tija na bila kusahau kuchallenge. JK ambaye naamini sasa hivi anausoma uzi huu hapa JF, ni vyema akaacha ku post kwa style ya kishabiki na kinazi nazi ba aweke vitu,data stats nk kuhusu masuala ya uchumi, siasa na kijamii.
Naamii kabisa JK angekuwa ni verified member wa JF bas kazi yake ingekuwa kuja humu kuharibu threads kwa kuleta visivyo husika na mada kwa sababu kwa kumfuatilia huko Instagram ana tendecies za professional troll, na kama angekuwa mtu wa mpira na kutokana na haiba na convinsing power aliyonayo bas kamati yake ingekuwa ni namna ya ku sabotage uongozi wa timu kama hauihitaji.
Wito kwa uongozi wa JF, its about time hii forum ikamleta humu na akawa verified poster na awe anatuletea think pieces zake kuhusu masuala kadhaa wa kadhaa.
Kule twitter yuko na anapost vitu vya maana sana, sasa sielewi why kwenye instagram amekuwa professional troll?
Mwisho kabisa, mimi naona JK yuko more intune na zama hizi tulizo nazo kuliko hata Mbunge wetu wa huku Bagamoyo Mh. Ridhwanul Kikwete na bila kusahau vijana wengine, kawashinda kwenye kila kiitu, kuvaa, uptodate, msikivu, hana papara na bila kusahau ni worldly.
Huku kwetu kiongozi mstaafu pekee ambaye hujitahidi sana kutumia mitandao ya kileo kuwasiliana moja kwa moja na wananchi ni the one and only, Rais (semi-retired) Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, aka JK ambaye kwa kusudi kabisa ameamua kujikita kwenye Instagram na kuposti mapicha mbali mbali mengine bila maelezo.
Ombi langu kwake ni kuwa aache tabia ya ku troll kwenye instagram na apost vitu vyenye kuleta tija na bila kusahau kuchallenge. JK ambaye naamini sasa hivi anausoma uzi huu hapa JF, ni vyema akaacha ku post kwa style ya kishabiki na kinazi nazi ba aweke vitu,data stats nk kuhusu masuala ya uchumi, siasa na kijamii.
Naamii kabisa JK angekuwa ni verified member wa JF bas kazi yake ingekuwa kuja humu kuharibu threads kwa kuleta visivyo husika na mada kwa sababu kwa kumfuatilia huko Instagram ana tendecies za professional troll, na kama angekuwa mtu wa mpira na kutokana na haiba na convinsing power aliyonayo bas kamati yake ingekuwa ni namna ya ku sabotage uongozi wa timu kama hauihitaji.
Wito kwa uongozi wa JF, its about time hii forum ikamleta humu na akawa verified poster na awe anatuletea think pieces zake kuhusu masuala kadhaa wa kadhaa.
Kule twitter yuko na anapost vitu vya maana sana, sasa sielewi why kwenye instagram amekuwa professional troll?
Mwisho kabisa, mimi naona JK yuko more intune na zama hizi tulizo nazo kuliko hata Mbunge wetu wa huku Bagamoyo Mh. Ridhwanul Kikwete na bila kusahau vijana wengine, kawashinda kwenye kila kiitu, kuvaa, uptodate, msikivu, hana papara na bila kusahau ni worldly.