Trump na Magufuli wana mitazamo sawa kuhusu Corona

Trump anaangalia ushindi wake kwenye uchaguzi wa Nov. maana impact ya Lockdown kwenye uchumi itamharibia sana kwenye Kampeni mfano:zaidi ya wamarekani mil 30 hawana ajira mpaka sasa.

Trump does't care about American citizens na afya zao. Na ndio tabia ya wanasiasa hizo.

Kuhusu Magufuli na mtizamo wake kuhusu Lockdown hapo sijui chochote.
 
Wahenga waliwahi kusema kwamba "Ukiiga kunya kwa tembo unaweza ukachanika..................."

Donald J Trump ni Raisi wa taifa tajiri kuliko yote duniani kwa kipindi ambalo limejidhatiti karibia kwenye nyanja zote. Asilimia kubwa ya raia wa Marekani wameelimika sana hivyo ni rahisi kuchukua tahadhari.

Pia Lockdown or No Lockdown the economy is still kicking because the largest part of American economy is digitised and mechanised.


Raisi John Magufuli ni Raisi wa taifa ambalo ni masikini na linahangaika kujikwamua kutoka kwenye lindi la umasikini. Hatujajidhatiti kwenye nyanja muhimu kama Marekani na mpaka sasa hatujaonyesha hatua stahiki za kupambana na ugonjwa wa Korona.

Hata kama tutasema kwamba hakuna Lockdown bado ukweli utabaki palepale kwamba hatuna ujanja na tunaishi kwa neema za Mwenyezi Mungu tu. Lakini sidhani kama msimamo wa Raisi wetu unaweza kuathiri chochote kwenye hili gonjwa.

Sasa ukiwaweka hawa watu wawili kwenye mzani nadhani utakuwa hutendi haki kabisa au umesahau Bibilia Takatifu ilivyosema kwamba Hekima ya Masikini haisikilizwi ? Trump ni tajiri, akifanya hata ujinga atapigiwa makofi tu......
 
Hata kama tutasema kwamba hakuna Lockdown bado ukweli utabaki palepale kwamba hatuna ujanja na tunaishi kwa neema za Mwenyezi Mungu tu. Lakini sidhani kama msimamo wa Raisi wetu unaweza kuathiri chochote kwenye hili gonjwa.

===
Mkuu labda tunalenga kufanya kitu inaitwa herd immunity... na kuna Wabobezi wa mambo ya virus wanasema... kadri kirusi kinavyoambukizwa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine... kwa kawaida... upungua nguvu.

Sasa kwa maelezo hayo, unashindwaje, kuhusisha msimamo wa Rais wetu na kuathiri chochote kwa nia ya kutokomeza janga hili la Corona!?
 
Hata kama tutasema kwamba hakuna Lockdown bado ukweli utabaki palepale kwamba hatuna ujanja na tunaishi kwa neema za Mwenyezi Mungu tu. Lakini sidhani kama msimamo wa Raisi wetu unaweza kuathiri chochote kwenye hili gonjwa.

===
Mkuu labda tunalenga kufanya kitu inaitwa herd immunity... na kuna Wabobezi wa mambo ya virus wanasema... kadri kirusi kinavyoambukizwa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine... kwa kawaida... upungua nguvu.

Sasa kwa maelezo hayo, unashindwaje, kuhusisha msimamo wa Rais wetu na kuathiri chochote kwa nia ya kutokomeza janga hili la Corona!?
Kwa hio kirusi cha UKIMWI tangu watu waanze kuambukizana mpk leo kimepungua makali?
 
Hata kama tutasema kwamba hakuna Lockdown bado ukweli utabaki palepale kwamba hatuna ujanja na tunaishi kwa neema za Mwenyezi Mungu tu. Lakini sidhani kama msimamo wa Raisi wetu unaweza kuathiri chochote kwenye hili gonjwa.

===
Mkuu labda tunalenga kufanya kitu inaitwa herd immunity... na kuna Wabobezi wa mambo ya virus wanasema... kadri kirusi kinavyoambukizwa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine... kwa kawaida... upungua nguvu.

Sasa kwa maelezo hayo, unashindwaje, kuhusisha msimamo wa Rais wetu na kuathiri chochote kwa nia ya kutokomeza janga hili la Corona!?
kama ndiyo hivyo kwanini dunia nzima hawafanyi herd immunity ?
 
Nadhani wamewekeza ela nyingi kwenye kutafuta kinga, vaccine ya Corona. Maana vaccine inalipa sana kwao kuliko mbinu hii.
Sawa mkuu, lakini mwisho wa hii mbinu ya Herd Immunity ni upi ? Kirusi kitaisha nguvu na ugonjwa utakuwa Endemic kama wanavyosema au ugonjwa utapotea kabisa ?
 
Back
Top Bottom