Trump: Iran ilikuwa inajipanga kutushambulia tukaiwahi

Trump: Iran ilikuwa inajipanga kutushambulia tukaiwahi

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,359
Reaction score
4,814
Screenshot 2026-03-04 at 10-59-21 Instagram.png

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani na Israel zililazimishwa kuishambulia Iran ili kujilinda kwakuwa Iran ilikuwa inajiandaa kufanya mashambulizi .

Soma Waziri wa Ulinzi wa Israel asema jeshi la nchi hiyo litaua mrithi yoyote wa Ali Khamenei

Trump amesema “Kutokana na jinsi mazungumzo yalivyokuwa yanaendelea nadhani Iran walikuwa wanajiandaa kufanya mashambulizi, na sikutaka hilo litokee”
 

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani na Israel zililazimishwa kuishambulia Iran ili kujilinda kwakuwa Iran ilikuwa inajiandaa kufanya mashambulizi .

Soma Waziri wa Ulinzi wa Israel asema jeshi la nchi hiyo litaua mrithi yoyote wa Ali Khamenei

Trump amesema “Kutokana na jinsi mazungumzo yalivyokuwa yanaendelea nadhani Iran walikuwa wanajiandaa kufanya mashambulizi, na sikutaka hilo litokee”
Kumbe ndio Sababu sio tena ile ya mwanzo!! ukombozi kwa Wairani!!! Wachukue nchi yao 😇😇
 
Back
Top Bottom