Trump atoa vipengele vinavyoongelea mabadiliko ya hali ya hewa na ushoga kwenye tovuti ya Ikulu

Watajitokeza humu wale wasemaji na wateteaji wao
Sasa leo nimewaletea mpya ikisema TRUMP amefuta uhamiaji wa wa Islam kutoka Africa mashriki, kati na magharibi toka kwa wole soyinka ili kama alileta kiburi akifikiri ataomba green card tena ya kuishi USA amejikomoa mwenyewe na ameahidi kuweka 'strict law' kwa wahamiaji eg wole soyinka
 
Ni ukweli usiofichika kuwa kwa miaka mingi USA imefadhili kwa wingi utoaji mimba unaondeshwa na marria stoppes, hii imesababisha binadamu wengi wauawe wakiwa tumboni mwa mama zao na hivyo, tumepoteza watu wengini mno ambao pengine wangukuwa msaada kwa jamii.

sasa Trump amefuta kabisa na kupiga marufuku ujihusishaji wa USA na uzazi wa mpango. Hivyo wale ndugu zetu walikuwa wanaishi kwasababu ya kufanya kazi kwenye haya mashirika watafute ajira zingine, hii ajira ya kunyonga watoto wachanga wasio na hatia ndo upate ada ya kusomesha watoto wako imefika mwisho wake baada ya Wamarekani kuchagua Trump kuwa rais. Jamii nzima inapaswa kumuugna mkono Trump ili kuzuia huu ushetani ulikuwa umeshamiri.

na wale waliokuwa wanapata msaada wa kuendeleza ushoga nao kwa msaada wa obama sasa kwaheri, ndoa ni ya mme na mke tu na siyo mke na mke na mme na mme. Mungu mbariki Trump.

Ni vizuri ukiamua ku post; ujiridhishe na taarifa yako. Sio kweli kuwa Mashirika kama Marie stoppes yatapata shida na hatua aliyochukua Trump. Mosi, sheria hii imekuwa ikifutwa kila kipindi ambacho raisi anatokea Democrat na kurejeshwa kila rais anapotokea Republican. (Clinton aliifuta, Bush akarejesha, Obama aliifuta Trump amerejesha) soma hapa . Pili, hela kutoka marekani ni kwa kiasi kidogo sana ama hakuna kabisa zinazo support miradi ya Abortion globally. kwa nchi yetu, fedha kutoka marekani katika sekta ya afya zina support miradi mikubwa ifuatayo:

1. Malaria - Presidential Malaria initiative (PMI)
2. HIV - US President Emergency Programme for AIDS Relief (PEPFAR)
3. HIV kwa wartoto - The Accelerating Children's HIV/AIDS Treatment (ACT)
4. HIV vijana, wasichana - The Determined, Resilient, Empowered, AIDS-free, Mentored, and Safe Partnership (DREAMS)
5. family planning commodities - USAID

Tatu ukumbuke kuwa kwa sheria ya Tanzania abortion is illegal, unless imetolewa idhini na 'jopo' la madaktari ili kunusuru maisha ya mama mjamzito. Nne fahamu pia kuwa fedha nyingi za miradi ya Marie stoppes pia zinatoka serikali ya Uingereza (DFID/UK AID)
 
Kuna kitu nakiona miongoni mwa sisi waTanzania.
Tunapenda sana kurukia vitu hata kama hatuvijui undani wake, move ya Trump kulingana na misingi ya chama chake siyo ya kuishangaa, na hata hivyo haimaanishi kwa kua kafuta basi ndiyo watu wataacha kuwa na uhuru (wa liberty siyo freedom).

Tuache tabia hizo, itapendeza kama tutakua more informed na kila tunachotaka kukishabikia.
 
Huo ni unafiki. Wao ndo wamekuwa mstari wa mbele kuitetea ushoga Leo imekuwaje?
 
Ni vizuri ukiamua ku post; ujiridhishe na taarifa yako. Sio kweli kuwa Mashirika kama Marie stoppes yatapata shida na hatua aliyochukua Trump. Mosi, sheria hii imekuwa ikifutwa kila kipindi ambacho raisi anatokea Democrat na kurejeshwa kila rais anapotokea Republican. (Clinton aliifuta, Bush akarejesha, Obama aliifuta Trump amerejesha) soma hapa . Pili, hela kutoka marekani ni kwa kiasi kidogo sana ama hakuna kabisa zinazo support miradi ya Abortion globally. kwa nchi yetu, fedha kutoka marekani katika sekta ya afya zina support miradi mikubwa ifuatayo:

1. Malaria - Presidential Malaria initiative (PMI)
2. HIV - US President Emergency Programme for AIDS Relief (PEPFAR)
3. HIV kwa wartoto - The Accelerating Children's HIV/AIDS Treatment (ACT)
4. HIV vijana, wasichana - The Determined, Resilient, Empowered, AIDS-free, Mentored, and Safe Partnership (DREAMS)
5. family planning commodities - USAID

Tatu ukumbuke kuwa kwa sheria ya Tanzania abortion is illegal, unless imetolewa idhini na 'jopo' la madaktari ili kunusuru maisha ya mama mjamzito. Nne fahamu pia kuwa fedha nyingi za miradi ya Marie stoppes pia zinatoka serikali ya Uingereza (DFID/UK AID)
Ubarikiwe ndugu wengi hupendi kurukia mambo wasiyoyajua na kujaza upupu mwingi hapa JF,ni vizuri mtu kabla hujapost kitu kwanza ukifanyie utafiti,nashukuru kwa majibu maridhawa .Kuitaja Marie Stopes wanahusika na utoaji mimba hapa Tanzania wakati sheria za nchi zinakataza utoaji mimba ni upotoshaji mkubwa na ni ukihiyo
 
Ni vizuri ukiamua ku post; ujiridhishe na taarifa yako. Sio kweli kuwa Mashirika kama Marie stoppes yatapata shida na hatua aliyochukua Trump. Mosi, sheria hii imekuwa ikifutwa kila kipindi ambacho raisi anatokea Democrat na kurejeshwa kila rais anapotokea Republican. (Clinton aliifuta, Bush akarejesha, Obama aliifuta Trump amerejesha) soma hapa . Pili, hela kutoka marekani ni kwa kiasi kidogo sana ama hakuna kabisa zinazo support miradi ya Abortion globally. kwa nchi yetu, fedha kutoka marekani katika sekta ya afya zina support miradi mikubwa ifuatayo:

1. Malaria - Presidential Malaria initiative (PMI)
2. HIV - US President Emergency Programme for AIDS Relief (PEPFAR)
3. HIV kwa wartoto - The Accelerating Children's HIV/AIDS Treatment (ACT)
4. HIV vijana, wasichana - The Determined, Resilient, Empowered, AIDS-free, Mentored, and Safe Partnership (DREAMS)
5. family planning commodities - USAID

Tatu ukumbuke kuwa kwa sheria ya Tanzania abortion is illegal, unless imetolewa idhini na 'jopo' la madaktari ili kunusuru maisha ya mama mjamzito. Nne fahamu pia kuwa fedha nyingi za miradi ya Marie stoppes pia zinatoka serikali ya Uingereza (DFID/UK AID)
Sasa hivi ndugu kila taifa limeshutuka kutoa misaada kiholela kama zamai, kumbuka USA ikibana ujue hata UK na EU zitashutuka kwasababu kila nchi hasa nchi kubwa inajitahidi isipitwe na nyingine. Lazima EU na UK zitataka kuona ni nini USA inataka kufanyia pesa yake ikiwa imekataa kutoa misaada.

Kumbuka pia USA ya Trump imesema ni lazima ipunguze kwa sehemu kubwa ya dollar zake ilizokuwa inatoa ili kuiendesha UN, kwahiyo mambo mengi yanayotegemea UN safari hii yatasinyaa tu, China na Russia kamwe haziwezikutoa hela zao za kutosha kuiendesha UN.

Kumbuka pia EU inakimbizana na China kiuchumi, sasahivi mambo siyo mazuri hasa kwa nchi kubwa maana tayari zimeshaanza maandalizi ya struggle of worldly "POWER" kiuchumi na kijeshi. Trump ameongeza joto lililokuwa linafukuta. Trump amesema ni lazima hela za USA zitumike kuijenga na kuiimarisha USA irudi kwenye zama zake za zaman. Sawa marais wengine walishawahi futa lakini hawakuwahi kupunguza misaada ya kimatafa kwa nchi za dunia ya tatu, wala hawakuwahi kupunguza misaada ya uendeshwaji wa UN. Safari hii Trump ametangaza vita na utoaji misaada, kwa maana hiyo anataka akimbizane na Cina amabayo inaonekana kukukua kwa kasi na hivyo kutishia nguvu ya USA.

Tafuta kujua ni nini mataifa makubwa yanafanya sasahivi, ni nini hatima ya kila taifa katika dunia ijayo. Huo ndo uhalisia wenyewe, tusiishi kwa mazoea ni lazima tujue dunia inabadirika hasa hizi nchi kubwa zinapoanza kutafuta namna ya kuendelea kuwa world "SUPPER POWER" katika dunia iliyojaa ushindani mkubwa kiasi hiki.
 
Kuna kitu nakiona miongoni mwa sisi waTanzania.
Tunapenda sana kurukia vitu hata kama hatuvijui undani wake, move ya Trump kulingana na misingi ya chama chake siyo ya kuishangaa, na hata hivyo haimaanishi kwa kua kafuta basi ndiyo watu wataacha kuwa na uhuru (wa liberty siyo freedom).

Tuache tabia hizo, itapendeza kama tutakua more informed na kila tunachotaka kukishabikia.
Bado ujatuinform umelaumu tu! nilifiri ungeujulisha umma unachokifahamu...kwa kufanya hivyo utakuwa hina tofauti na sisi!
 
Ukisoma hotuba ya Trump unaona kuna VISION. Hapa kwetu ni zima moto kwa hiyo siwezi kuwafananisha wawili hawa, kama mchangiaji aliyetangulia alivyofananisha.
 
Back
Top Bottom