Nina imani hata Yesu angeishi katika dunia hii ya sasa ule uvumilivu wake ungepungua kama si kuisha kabisaa.
Sometimes mtu unalazimishwa kujibu hata kama si mtu wa dizaini hiyo,
Nafikiri njia nzuri ya kutoa donge moyoni ni kuyatema tu, ndo maana watu wanashauriwa kulia hadi machozi yaishe hyo ndo dawa ya kumaliza hasira,
Watu wanatokwa povu kama wamekatwa mishahara yao aisee