Ah ah ah ah ah ah we jamaa fala kweli umewapa za uso huku unatabasamu..Jibu rahisi tu mimi ndie niliependekeza hilo group liundwe ili angalau arosto ya kusoma ipungue coz kule anatoa 4episode kwa wiki, wakati huo hapa ile itaendelea kama ilivokuwa mwanzo tofauti ipo kidogo tu nyie mkiwa na ep 10 , sisi tuna 30 lakini mtatufikia Tu.
hata makanisani kuna VIPs wao wanapata huduma popote mchungaji anamfata wakati huo waumini wengine mnaendelea kumsubiri,
ukiandaa kitu kikaungwa na wengi matunda yake ndo haya wakuu jaribuni na nyie kucreate vitu kama hivi neema itawadondokea,
Haina haja ya mabeef kama watoto wa kike, hata mwalimu anapofundisha darasani huwa anatumia vitabu vilevile kama wengine wanavotumia lakini akifaulisha sifa zinamwendea yy peke yake badala ya waandishi wa hivo vitabu, kutransilate lugha hasa ya kiintelejensia au kidaktari ni shuhuli mkuu tusidanganyane,,,
NB:
nimecheka jamaa alivoanza eti nimetumia siku nzima kufatilia kiapo cha trump,
Hv wikipedia pia walianzia hapo???
Naona wanaomtetea wataelewa. Huo mfano uliotoa wote wataelewa. Habari haiwezi kuwa word by wordikiandikwa ingawa wote mlikuwepo.Dogo ningemuona mstaarabu kama angeomba msamaha tu yakaisha, na hao wanaotetea ujinga pia dahh!!! hadi aibu
Sijawahi kuona habari za mwananchi zikafanana na uhuru japo wote wanamzungumzia JPM hata cover picha huwa hazifanani zitapishana hata angle otherwise kuwe na tamko maalumu kabla
[emoji23] [emoji23] Hata mimi nilikuwa namtani sana tu, lakini baada ya kuona nimekosa siti nilikubali kusubiri gari lingine nitakalokaa kwa kujinafasi, tatizo wenzetu wanakaa mbagala wao kuparamia madirishani hawaoni noma[emoji23]Ah ah ah ah ah ah we jamaa fala kweli umewapa za uso huku unatabasamu..
Wasipo helewa na. Hapa basi wanabeef binafsi
Ila nifan wengi walikuwa wanamtaman naisi...
Tatizo sio mkuu The bold kureact, unaweza kuona haimumi mtu kukuibia kazi yako uliyoifanya, lakini ukweli unabaki kuwa palepale jamaa amekua akitumia muda wake mwingi kuandaa hizo makala, hata kama wewe unajua undani wa hizo story na hujawahi kuandika hata story moja au umewahi kuandika na watu wasiielewe kama anavyoandika The bold basi ungekua hata na nafsi ya aibu kidogo ukaappreciate kile anachokifanya The bold. Mleta mada nadhani alitakiwa ampe credit aliyeandika hiyo story. Unaweza kuwa unabisha sababu elimu yako hujawahi kufika chuo, ila kwa waliosoma vyuo watakuwa wameelewa ni kwanini jamaa analalamika. Chuoni ukicopy kitu bila kutoa credit kwa source uliyotoa hiyo information unakua ume disqualify chuo moja kwa moja. Sasa nna wasiwasi wewe ni mmoja wa watu walio disqualify chuo kutokana na upuuzi wa kukopy vitu vilivyotafsiriwa na watu wengine bila kuwacredit waliotafsiri.Mimi sina tabia za kubeza watu, lakini alivyo react ame symbolize immaturity.
Alivyokuja hapa kulalamika, anamlalamikia nani kwa mfano?
Mleta mada kavunja sheria ipi ya JF?.........Nadhani kuna ma mangi meza yenye secrete fetish ya kuhodhi fikra za watu.
Hao ni tatizo na sio washindan kabisa[emoji23] [emoji23] Hata mimi nilikuwa namtani sana tu, lakini baada ya kuona nimekosa siti nilikubali kusubiri gari lingine nitakalokaa kwa kujinafasi, tatizo wenzetu wanakaa mbagala wao kuparamia madirishani hawaoni noma[emoji23]
Hapo mwanzoni mwa huu uzi niliandika nini ? Badala yake jamaa yako akaja na kashfa zake kwamba sina akiliSikatai kutokukubaliana hilo ni jambo la kawaida ila hukubaliani nae kwa hoja gani?
Kwamba mimi ndiye ninayetumia ID yake?
Wanawake ndio wanaompa kiburi?
Usingeniingiza mimi katika malumbano yenu wala nisingekuquote.
Suala la mapenzi na kulala naye ni nje ya mada,excuse me.
nimecheka jamaa alivoanza eti nimetumia siku nzima kufatilia kiapo cha trump,
Hv wikipedia pia walianzia hapo???
Mkuu inaoneka leo ndo mara yako ya kwanza kumsoma The bold, kati ya watu wastaarabu na wenye roho nzuri huyu jamaa ni mmoja wapo, mada zake zimejaa elimu juu ulimwwengu ulivyo na mambo yanavyofanyika duniani, watu wengi tumekua tukiongeza ufahamu juu ya mambo ya dunia kupitia makala za huyu jamaa, na ukifatilia makala zake amekua akitoa majibu yenye uelewa mkubwa sana hata kwa yule mtu kichwa maji namna gani ila mwisho wa siku anaelewa. Naweza kusema wewe ndio mwenye roho ya korosho kuliko hata huyo The bold mana hakuna ambacho umewahi kuifundisha JFNdo maana nikasema mbegu nzuri inaanguka penye udongo mzuri aisee.
Watu kwa nje wamevaa miili mizuri lakini kwa ndani kuna tabia za kikorosho.
Haka ni ka makala ka kutafsiri tu mtu anafura povu la Omo,.....Imagine kama angekuwa ndiye invetor wa Internet.
Ndo maana Africa hakuna maendeleo sababu ya watu kuwa na wivu tena kwenye vitu visivyo na ulazima.
[emoji106][emoji106] acha tuwape dedication mkuuNaona wanaomtetea wataelewa. Huo mfano uliotoa wote wataelewa. Habari haiwezi kuwa word by wordikiandikwa ingawa wote mlikuwepo.
Basi mpwa usijinyenyekeze zaidi nitakunyang'anya dada anguHahahahahaha!! Ndio uone maajabu ya walimwengu mpwa..
Sitasema kitu kingine chochote kuhusu hili, Mungu awe hakimu katika hili..
Wanaonifahamu wanajua unyenyekevu wangu,
Wanaonifahamu wanajua ni kiasi gani mimi mtu wa kujishusha siku zote,
Wanaonifahamu wanajua ni kiasi gani naheshimu kila mtu,
Wote mlionitukana kwenye huu uzi msiache kutukana, endeleeni kutukana..
Wote mliokejeli, zidisheni bidii..
Wote mliobeza, ongezeni ukali wa maneno zaidi..
Na wote wenye chuki na mmetumia hii kama dirisha la kujidhihirisha, nashukuru kwa maana nimewatambua..
Nawaahidi kitu kimoja, na mbingu na malaika wawe mashahidi katika hili.! Nawaahidi kuwa ipo siku inakuja mtasikia aibu kwa haya matusi, bezo na kejeli mlizoandika humu.. Ipo siku!
Najua kilichomo ndani yangu and nobody can take that away.. Siku zote na amini kuwa dhamira ya kweli inashinda mara zote! Na ndivyo nilivyoshinda vita kama hii 2014 (tena kwenye vyombo vya sheria) na ndivyo nikivyoshinda mwaka jana dhidi ya gazeti la kisiwa.. Hata siku moja, Mungu hamtupi mtu mwenye dhamira safi na ya kweli!
Naacha Mungu awe hakimu kati yangu mimi na nyinyi.. Ipo siku mtasikia aibu kwa matusi na kejeli mlizoandika humu!!
Sina chuki na wale wanaotukana humu, na nimewasamehe bure kabisa.!
Mbarikiwe..
The Bold.
Duuh alie elewa tafadhali...A case of a plagiarist accusing the other of plagiarism.
It's high time now for it [plagiarism] to be taught in school.
It should be a full credit class in both secondary and tertiary education.
NB The bold mwenyewe umempata kwenye ugomvi angalia nisije nikakumiliki
Nimeishia la 3B mkuu hapa umemaanisha nini kwa KiswahiliA case of a plagiarist accusing the other of plagiarism.
It's high time now for it [plagiarism] to be taught in school.
It should be a full credit class in both secondary and tertiary education.
Come on pal,A case of a plagiarist accusing the other of plagiarism.
It's high time now for it [plagiarism] to be taught in school.
It should be a full credit class in both secondary and tertiary education.
Nimeishia la 3B mkuu hapa umemaanisha nini kwa Kiswahili
Tafadhali
Duuuuu aiseee hivi mkuu kila kinacho andikwa humu unaamini ndio nilicho maanisha ? Hiyo ni code nimetumia akishindwa kung'amua hapo basi tenai think this was your target pal!
so sad siku hizi hatutongozi hvo mkuu
Sorry kwa kuingilia comment yako ila nia yangu nikushtue usije ukajikwaa mbele
Come on pal,
wape lugha ya nyerere kuna madogo kibao hawajakusoma ujue,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwenye kikao hakuna chombo cha habari hata kimoja kinachoruhusiwa lakini wamatumbi wameshapata taarifa za kikao.
Nadhani aliyesema imani ni silaha alimaanisha kwenye mambo mengi.